USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuatayo.Una moyo gani, ninakuuliza, wangu muhisani? Na kiasi gani, unavyojiweza, ijapo tufani? Ukiwa laini, utajipoteza, usijaribaini, Kusimama pweke kwataka makini. Zitavuma pepo, zitakupuliza, uanguke chini, Ela uwe papo, unajikweleza, na kujiamini, Utikishapo, umejiumiza, pigo la moyoni, Kusimama pweke kwataka makini. Utie migati, ya kukuoteza, hapo ardhini, Kwa nia na dhati, usiogeuza, au kuihuni, Zidata baruti, uwe wapwiza, weleke usoni, Kusimama pweke kwataka makini. Sishike vishindo, na mauzauza, ya kukuzaini, Kita kama nyundo, ukiniuliza, unayoamini, Na uje mkondo, utadidimiza, kujipa mizani, Kusimama pweke kwataka makini. Wengine wasiwe unaoweleza, yaliyo maani, Wewe ndiwe wewe, utawageuza, pindipo mwakani, Ela jichukuwe, pia kujikaza, katika midani, Kusimama pweke kwataka makini. Maswali
0 Comments
|
AuthorAtika School Team Archives
June 2024
Categories
All
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|