USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
Soma shairi kisha ujibu maswali Ndugu ona mbwa yule, ambaye ananyekenya; Yaone mabuu yale, ambayo yamchezeya; Kuwa leo yuafile, mwili yanautaniya; Jana awile jasiri! Juzi shujaa awile, pasiwe kumfikiya; Kwenye makani yale, alipojisururiya; Leo kuwa yuafile, mainzi yamchekeya; Jana awile Jasiri! Mijino mikubwa ile, ambayo ‘mejitokeya; Yali kiwaliza wale, karibu walosogeya; Tena akibweka yule, waoga walijinyiga; Jana awile jasiri! Kamwe kuishi milele, kupe ukajinyonyeya; Walo chini yako wale, muhali unawaziya; Ameshindwa yule pale,sembuse wewe sikiya; Jana awile jasiri! Kama walo hai wale, yafaa kuzindukiya; Ni dunia maji male, muhimu kujiwaziya; Wazipunguze kelele, na kwingi kujishauya; Jana awile jasiri! Maswali
Majibumajibu
MASWALI 10 YA CHAGUZIHapa kuna seti ya maswali 10 ya chaguzi zaidi.
MAJIBU YA MASWALI 10 YA CHAGUZI
Hapa kuna majibu kwa maswali yaliyotolewa:
0 Comments
|
AuthorAtika School Team Archives
June 2024
Categories
All
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|