Maswali na Majibu KCSE Kiswahili
Ufahamu | Ufupisho | Isimu Jamii | Insha | Utumizi wa Lugha
maana ya jina MivigaIn English: Ceremonies/Festivals Miviga ni sherehe mbalimbali zinazofanywa na jamii fulani kwa lengo au tukio maalumu la kabila husika. Sherehe hizi zinajumuisha watu kutoka jamii hiyo na huambatana na nyimbo, ngoma, vyakula vya kienyeji, na mawaidha kutoka kwa wazee. Miviga inaweza kuwa na sifa zifuatazo:
0 Comments
FASIHI SIMULIZI MODEL20240619001 a) Nini maana ya maghani ? (alama 2) b) Eleza aina za maghani zifuatazo. (alama 10) i) Vivugo ii) Tondozi iii) Sifo iv) Tendi v) Rara c) Eleza sifa nne za maghani. (alama 4) d) Taja umuhimu wa maghani. (alama 4) MAJIBU
FASIHI SIMULIZI a)Maghani ni utungo wa kishairi ambao hutongolewa kwa kutumia sauti iliyo kati ya uimbaji na uzungumzaji, yaani kalimia na watu wanaojigamba kuhusu ufanisi au kusifu watu wengine, vitu au viumbe. b) i) Vivugo : Ni utungo wa kujisifia unaotungiwa papo aghalabu na fanani mwanamme. Majisifu yenyewe huwa ni baada ya ushindi katika harakati ngumu k.m. kumuua simba, kuoa msichana aliyependwa na wengi n.k. Fanani hutaja jina lake. ii) Tondozi : Ni utungo wa kutukuza watu, wanyama, vitu, magari, miti, ng’ombe – Husifu maumbile, sura, tabia , matendo n.k iii) Tendi : Usimulizi mrefu wa kishairi unaotungwa papo kwa papo na hueleza tukio kuu la kihistoria kwenye jamii au taifa. iv) Rara : Hadithi fupi ya kishairi yenye ubunifu mkubwa unaokusudiwa kusisimua. Unatongolewa kwa kuimbwa au kughanwa ukiandamanishwa na ala za muziki. c) Sifa za maghani 1.Hukaririwa au kusemwa bila kuimbwa. 2.Huwahusu mashujaa au vitu kwa sababu Fulani. 3.Hufanyika zaidi wakati wa sherehe. 4.Huhusisha majigambo, majitapo. d)Umuhimu wa maghani
Hakikisha kuwa insha yako ina mpangilio mzuri na mtiririko unaofuata hoja kuu.Kuandika insha ni mchakato wa kutumia maneno na sentensi kuwasilisha wazo, mtazamo, au maoni juu ya suala fulani. Hapa kuna hatua muhimu za kuandika insha:
. ISIMU JAMII (Alama 10) Matumizi ya lugha yoyote hudhibitiwa na mambo fulani. Fafanua matano kati ya hayo. (Alama 10). …………………………………………… ISIMU – JAMII
• Muktadha wa matumizi/ mazungumzo • Wahusika na uhusiano wao • Umri • Vyeo vya wahusika • Tabaka • Hali yao • Madhumuni ya mawasiliano • Mada zinazozungumziwa • Jinsia ya wahusika • Lugha aizungumzayo mzungumzaji • Elimu • Mazingira Zozote 5 na zifafanuliwe. MATUMIZI YA LUGHA (Alama 40) a) Taja sauti mbili zinazotamkiwa mdomoni. (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Sahihisha sentensi ifuatayo. Usikule chakula chenye iliyo na baridi. (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… c) Tumia kihusishi mpaka ili kudhihirisha dhana za:- (Alama 2) i) Wakati ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Kiwango (Alama 2) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… d) Tunga sentensi ukidhihirisha matumizi ya ngeli ya U- YA. (Alama 2) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… e) Kanusha sentensi hii Mmeonana leo? (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… f) Kwa kutumia kirejeshi kifaacho, rekebisha sentensi ifuatayo kwa njia mbili tofauti. (Alama 2) Yule ndiye mkwasi ambaye aliyenusurika. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… g) Andika umoja wa sentensi hizi. (Alama 2) i) Hii miche ni mizuri sana itatufaa. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Magofu ni mabaki ya nyumba zilizokuwa zikitumiwa zamani na ambazo hazitumiki sasa. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… h) Changanua sentensi hii ukitumia visanduku. (Alama 4) Wasomi wanasoma vitabu na waachuuzi wanasikiza. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… i) Neno ‘chuo’ lina maana ya shule inayotoa mafunzo maalum ya kazi fulani. Tunga sentensi mbili kubainisha matumizi mengine mawili ya neno hili. (Alama 2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… j) Andika sentensi ifuatayo upya kutegemea maagizo. Wageni wamefika kwetu kutoka Uganda. Anza: Sisi (Alama 3) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… k) Eleza matumizi manne tofauti ya -na-. (Alama 2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… l) Eleza matumizi ya hii katika sentensi hizi. i) Kalamu hii ni nzuri . (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Hii ni nzuri (Alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… m) Unda jina moja moja kutokana na vivumishi vifuatavyo (Alama 1) i) Zuri- …………………………………………………………………………………………………………… ii) Erevu- …………………………………………………………………………………………………………… n) Kamilisha sentensi kwa kutumia maneno ya kutilia mkazo (Alama 2) i) Rai ya mgonjwa mahututi………… …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Vyakula vimejaa maghalani…………. …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… o) Andika sentensi ifuatayo katika nafsi ya pili wingi. Mimi nimefika hapa ili kumwona mtume. (Alama 2) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… p) Kwa nini umekuwa nazi kwa mbuzi? (Alama 2) (Geuza swali liwe kauli ya kutendewa) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… q) Akifisha sentensi ifuatayo (Alama 2) Fanya mtihani wako kwa makini sana ukicheza utaanguka asha mama alimwambia. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… r) Eleza maana ya misemo hii (Alama 2) i) Mwendo wa ulimbwende- ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Pua na mdomo- ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… s) Tofautisha maana ya sentensi hizi (Alama 4) i) Walipokelewa wageni ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Walipokezwa wageni ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… t) Kanusha sentensi hii (Alama 1) Walalapo hukoroma na kujichekea. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… u) Haya ni malipo gani? (Alama 1) Mapoza. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… Matumizi ya lugha (alama 40) a) /p/ /b/ /f/ /r/ /m/ /w/ ½ x2 zozote mbili ( alama 1) b) usile chakula baridi usile chakula kilicho baridi c) Tathmini sentensi ya mtahiniwa iwe kisarufi mfano:- i) -----mpka jioni / saa. ii) -----mpaka pomoni, ukajaa n.k d) Mtahiniwa azingatie nomino katika ngeli ya U-YA mfano – ugonjwa – magonjwa. Kiambishi cha kitenzi kizingatie ngeli hii umoja na wingi. e) Hamjaonana leo. f) Yule ndiye mkwasi ambaye alinusurika Yule ndiye mkwasi aliyenusurika g) i) Huu mche ni mzuri sana utatufaa ii) Gofu ni banki la nyumba iliyokuwa ikitumika zamani na ambayo haitumiki sasa. h) Wasomi wanasoma vitabu na wachuuzi wanasikiliza kwa makini. d) Chuo – Ndoa
- Kifaa cha kuchokolea viazi - Kitabu cha dini e) Sisi tumepata / tumepokea wageni kutoka Uganda f) Matumizi manne ya – na – - Kuonyesha uhusiano (kukaribiana) - Kuonyesha pamoja/ kulinganisha - Kuleta au kuonyesha maana ya au - Katika wakati uliopo - Kuonyesha hali ya kumiliki g) i) Kivumishi kiashiria/ kionyeshi ii) Kiwakilishi nomino h) Zuri _ uzuri erevu _ werevu /mwerevu i) i) Hamjui anaye ingia wala anayetoka / hajijui/hajitambui ii) Vinaoza vikiozeana j) Ninyi/ nyinyi mmefika hapa ili kumwona mtume k) Kwa nini nazi imekuniwa kwa mbuzi l) “Fanya mtihani wako kwa makini sana. Ukicheza utaanguka Asha”, mama alimwonya. m) i) Mwendo wa maringo, madaha ii) karibu sana n) i) Mtu au watu wamefanya hivi kwa niaba ya . ii) Kulazimishwa/ kushurutishwa. o) Wasipolala hawakoromi wala kujichekea. p) Malipo ya kumtuliza mtu kwa jambo alilotendewa/ malipo ya kuondoa hasira. 1. MUHTASARI: (Alama 15) Ponografia na athari zake: Ponografia ni tendo, maandishi, picha au mchoro unaoonyesha au kueleza uchi wa mtu au vitendo vya ngono kwa ajili ya kuchochea ashiki ya kufanya. Mambo haya machafu huwasilishwa ana kwa ana kupitia sinema, video, magazeti, vitabu, muziki, televisheni, wavuti, DVD n.k. Ponografia imekuwepo tangu jadi, hasa katika nchi za magharibi. Lakini sasa limekuwa tatizo sugu. Hii ni kwa sababu imeenea ulimwenguni kote mithili ya moto katika mbuga wakati wa kiangazi. Uenezi umechangiwa na mambo kadha wa kadha. Mchango mkubwa zaidi umetokana na kuimarika kwa vyombo vya teknolojia ya habari na mawasiliano. Matumizi ya tarakilishi, mdahilishi na viungambali vya picha yamesambaza ponografia haraka na kwa wingi. Haifahamiki barabara jinsi ponografia ilivyoanza. Hata hivyo hubuniwa au kutengenezwa na makundi mbalimbali ya watu. Miongoni mwa hawa ni watu wasiojali maadili. Pili, kuna wale wenye matatizo ya kisaikolojia na kijamii. Wao hutengeneza na kueneza uchafu huu kwa lengo la ama kuvuruga maadili katika jamii au kuchukiza wanajamii waadilifu. Kundi lingine ni lile la wanaoichukulia ponografia kama nyenzo ya kutosheleza ashiki zao. Hivi sasa, kundi kubwa ni lile la wanaotumia matusi haya kama njia ya kuchuma. Kwa mfano, kuna wanamziki ambao hutumia ponografia kuvutia wateja na hivyo kuzindisha mauzo yao. Kushamiri kwa wimbi la uonyeshaji ponografia kuna athari kubwa kwa jamii na hasa watoto. Ingawa watu wengine hudai picha hizi haziwaathiri, upo ushahidi kuonyesha kuwa wanaotazama picha za ngono hupata matatizo. Lazima ieleweke kuwa kinachoonekana na jicho au kusikika kwa sikio huathiri fikra au hisia. Picha za matusi zinachangia kwa kiasi kikubwa kuharibu akili. Badala ya kuzingatia mambo muhimu kama masomo watu huanza kutafakari mambo machafu. Vijana wengi ni kama bendera. Hivyo basi huanza kuiga wanayoyaona na kusikia. Hili ni tatizo linalowafanya kuacha mkondo wa maadili. Kutokana na uchafu huu, watu wengi hushawishiwa kuingilia shughuli za ngono mapema kabla hawajakomaa kimwili, kiakili na kihisia. Matokeo yake ni mengi. Haya ni pamoja na ukahaba. Utendaji mbaya shuleni, mahudhurio mabaya darasani na mambo yasiyotarajiwa. Vijana wengi huacha shule kabisa.Wengine wao huambukizwa magonjwa ya zinaa ambayo huwaletea mauti. Inasemekana kuwa akili za binadamu hunata zaidi mambo yanayowasilishwa kwa picha. Si ajabu, vijana huyadumisha matusi haya katika kumbukumbu zao na kuyafanya sehemu ya maisha yao. Wengi huanza kuandama tabia mbovu kama ushoga, ubasha na usagaji. Kuna wale ambao huanza kujichua. Kujichua ni hali ya mwanamke au mwanamume kumaliza haja za kimaumbile bila kufanya mapenzi na mtu mwingine. Ponografia imechangia pakubwa kuenea kwa haya. Jambo hili limegeuza mielekeo ya vijana.Wanaiga mitindo mibaya ya mavazi yanayoanika uchi wao. Halikadhalika, huiga lugha, ishara na miondoko inayohusiana na ngono. Yote haya yanapingana na desturi za mwafrika. Si ajabu visa vya ubakaji vinaongezeka kila kuchapo. Utazamaji wa picha chafu aghalabu huandamana na maovu mengine kama unywaji wa pombe, matumizi ya dawa za kulevya, uvutaji sigara na utumiaji wa dawa za kuchochea uchu wa ngono. Mambo haya huwapa vijana tabia za unyama. Jambo hatari ni kuwa, kuendelea kutazama picha hizi huzifanya nishai na hisia za watu kuwa butu, yaani huondoa makali. Hata katika utu uzima, mtu atapoteza mhemko wa kawaida na kugeuzwa kuwa mtegemezi wa ponografia. Tatizo hili linaenea kwa vishindo mijini na vijijini. Ipo haja ya dharura kuikinga jamii kutokana na maenezi haya yasiyo kizuizi. Jambo la kwanza ni kuongeza ufahamu wa umma wote kuhusu uovu wa picha hizi. Kwa namna hii itawezekana kupunguza mahitaji na uuzaji wa ponografia. Aidha ni vizuri watu wazima wawajibike ili wawalinde hasa vijana kutokana na adhari hizi. Inapasa wenye midahilishi, video na sinema wasiwaruhusu vijana kutazama uchafu huu. Tatizo la kuenea kwa ponografia limeendelea kuwepo kwa sababu ya udhaifu wa sheria. Kilicho basi ni kuweka sheria za kuzuia utengenezaji na usambazaji wa upungufu huu. Kuambatana na haya, hatua kali zichukuliwe kwa wanaovunja sheria hizi. Halikadhalika, ushirikiano wa karibu baina ya wadau uimarishwe katika ulimwengu mzima. Serikali na mashirika ya midahilishi yajumuike kutambua chanzo cha taka hizi kisha wanaohusika wakabiliwe ipasavyo. Jamii ingependa kuona michakato ya kuharamisha utengenezaji, usambasaji na utangazaji wa ponografia ikiwekwa. Wazazi nao wasijipweteke tu bali wasaidie. Ni muhimu washikilie kwa dhati juhudi zao za kuwaelekeza na kuwashauri watoto kuzingatia uongofu na kukwepa picha hizi najisi. Watoto lazima waelezwe kuwa haifai kutazama picha au michoro michafu. Itikadi na imani za kidini na utamaduni wa kiafrika unakataza vikali mtu kuona uchi wa mtu mwingine. Matokeo ya kuasi makatazo haya yana madhara makubwa kwa watu na jamii. Maswali: 1. Ponografia hutengenezwa na akina nani na kwa nini?(maneno 20) (Alama 2) ……………………………………… 2. Eleza sababu za ponografia kusambaa ulimwenguni namna ilivyofanywa.(maneno 10) (Alama 2) ………………………………………… 3. Fupisha aya za mwisho tatu kwa maneno 60. (Alama 7) ……………………………………………… (Utiririko. Alama 2 baada ya kupitia kama wavutia la sivyo pima uwezo wa mtahiniwa.) (Alama 2) ………………………………………………… Muhtasari
1. - Watu wanaotosheleza ashiki zao. - Hutengenezwa na watu wasiojali maadili. - Hutengenezwa na makundi mbalimbali ya watu wasiojali maadili yoyote. (Hesabu maneno) (alama 2 ) 2. Sababu za kusambaa • Akili za binadamu kunata yanayowasilishwa kwa picha. • Mitindo mibaya ya mavazi yanayoanika uchi wao. • Lugha, ishara na miondoko inayohusu ngono. Sentensi moja au mbili zilizo na hoja hizi (idadi ya maneno iwe kati ya 6-13) (alama 2) 3. Kueleza ubaya wa ponografia kwa umma. • Kuweka sheria za kuzuia ueneaji. • Ushirikiano wa karibu baina ya washika dau uimarishwe. • Wazazi kuwaelekeza na kuwashauri watoto wazingatie uongofu na kuepa picha hizi. (Idadi ya maneno kati ya 56 – 63) Muhtasari Tanbihi i) Pitia majibu yote ii) Dondoa makosa ya sarufi na hijai iii) Ongeza alama 2(mbili) iwapo mtiririko ni mzuri (tathmini utiririko wa mtahiniwa) Mfano J = 13 J = jumla ya alama Ut = 2 Ut = utiririko bora 15 S – 1 ½ S = makosa matatu tofauti ya sarufi 13 ½ h = 2 h = makosa manne tofauti ya maendelezi 11 ½ 12 1. UFAHAMU (Alama 15) Soma habari iliyopo, kisha jibu maswali yanayofuatia. Kigumba kwa Nguruwe. Kikamilifu methali hii ni: Kigumba kwa nguruwe kwa mwanadamu ki chungu. Kufahamu maana yake, ni lazima tuchunguze kijuujuu maana ya maneno yaliyotumiwa. Kigumba ni chembe cha mshale, mkuki au chusa kinachotumiwa kuchoma na kumjeruhi mnyama. Nguruwe ni mnyama anayesakwa na kufumwa na kufurahikiwa na wasasi anapopatwa. Uchungu ni maumivu yanayoletwa na kitendo hicho cha kufuma. Nguruwe hufisidi mimea ya wakulima. Hapo basi husakwa kwa mishale na mikuki na kuuawa. Watu hupata uhondo wa nyama. Wakati mwingine, katika zile hekaheka za kusaka, huenda mshale au mkuki ukamdunga mtu badala ya yule mnyama.Vivyo hivyo anapaswa afahamu kuwa uchungu anaousikia yeye ndio ule aliousikia nguruwe. Mzee Kisheta alikuwa mraibu wa bangi, na kwa sababu hiyo, hakuweza kumkimu yeyote; si mkewe, si watoto hata mwenyewe na aila yake yote. Kila hela aliyoipata, alilongeza katika vihindo vya wauzaji bangi. Mkewe, Kitete, alikuwa akienda kutafuta vibarua angalau awasitiri wanawe. Chochote kile alichopata, ilimbidi akifiche, kwani mumewe alivisaka vibetini, mitoni na matandikoni, chini ya mivungu ilimradi nyumba nzima aliichakura. Akikipata hukimbilia kwa wachuuzi wake. Asipokiona, humkabili mkewe kwa matusi na magumi. Mkewe, aliyechekelea sana kufufutwa, humtolea nusu ya pesa alizopata ili aipoze ghaidhi ya mumewe. Kisheta huchomoka huyoo! Hapo basi Kitete huepukana na kero. Siku moja, Kitete alirudi na shilanga lake begani huku akitabasamia mwanawe mdogo Kita, aliyeuona uso wa furaha wa mamaye uliobashiri mafanikio aliuliza, “Mama una furaha leo! Je, umetuletea nini?” Mamake alimjibu kuwa alikuwa na furaha sana siku ile kwa sababu bibi aliyemlimia ngwe siku hiyo alimpa bahashishi ya shilingi ishirini kwa kazi yake nzuri. Badala ya shilingi hamsini alipata shilingi sabini. Ilikuwa furaha iliyoje! Alipomaliza kumjibu mwanawe kwa furaha, aliliingiza jembe lake ndani na kutoka haraka haraka awahi kwenda madukani kabla ya Kisheta kufika pale na kumnyang`anya pesa zake alizozipata kwa jasho. Alipotoka nje ya nyumba tu, alikutana na mumewe aliyezuka ghafula, haijulikani kutoka wapi! Papo hapo alimtolea jicho mkewe mkono kaunyosha akitaka kupewa ujira wote alioupata siku hiyo.Mama Kita alikataa katakata akisema hakupata chochote siku ile. Kisheta alikuja juu, akamshika mkewe akitaka kumvunja kama ukuni mkavu. Mkewe alilia kwa uchungu akijaribu kujikwamua, lakini mikono yake Kisheta ilikuwa imemkaba kama koleo. Hakuweza kumtoka. Mwanawe, Kita, alipomwona mamaye alivyokuwa akiteseka alisema, “Mama, kwa nini ufe na pesa unazo? Si umpe baba hizo shilingi sabini ulizozifunga hapo katika pindo la leso?” Kusikia hivyo, Kisheta alimwachilia mkewe kwa kumkita chini na kumwamrisha ampe pesa zile. Bibi huyo hakuwa na la kufanya ila kuzitoa. Kisha akakaa chini na kujiinamia kwa huzuni. Mzee Kisheta alifurahi na kumnyanyua Kita juu na kusema. “Wewe u dume kweli! Unampenda baba yako. Kua mwanangu na uwe kama babako.” Mtoto huyo alisikiza maneno hayo, lakini hakuonekana kuelewa aliyoambiwa. Siku nyingi zilipita na maisha ya Kisheta yalizidi kuzorota. Jumapili moja baada ya kupotea kutwa nzima, asijulikane alikokuwa. Kisheta alirudi akiandamana na watu wawili hadi pale nyumbani kwake. Walipofika mkabala wa ukumbi, Kisheta alisikika akisema, “Mabwana, mimi asilani sivuti hata sigara, lakini ikiwa mwasisitiza kuwa mwataka kuingia ndani basi mwakaribishwa.” Kita aliposikia babake akisema hivyo, alidakia, “Wewe baba huvuta sigara. Hata jana ulinituma sigara sita kubwa dukani kwa Ali.” Kisheta alimrukia Kita akataka kumzaba makofi. Kumbe wale mabwana aliokuwa nao walikuwa askari kanzu. Walimzuia asimpige mtoto; walilisaka banda lake la nyumba na kuona vipande sita vya misokoto ya bangi chini ya sanduku la mbao lililokuwa na suruali moja iliyojaa viraka na fulana moja kuukuu. Kisheta alitiwa pingu na kupelekwa kwenye kituo cha polisi. Alipokuwa akitolewa mle nyumbani, aliropoka laana kwa mwanawe Kita. Mama Kita matumbo yalimsokota akamkabili mumewe na kumsuta. “Msalie Mtume? Usinilaanie mwanangu? Malipo ni hapa duniani. Jambazi we! Umepata stahili yako!” Maswali: 1. Toa fasili ya kigumba katika kisa hiki. (Alama 2) ………………………………………………………………………… 2. Eleza uhusiano kati ya Kisheta na mkewe katika hali yao ya maisha. (Alama 3) …………………………………………………………………… 3. Ni kitu gani kilichopandisha mori Kisheta hata akawa karibu kumwumiza mkewe? (Alama 1) ……………………………………………………… 4. Taja sababu zilizomfanya mtoto Kita kutoboa kuwa mamaye alikuwa na pesa na babaye alivuta sigara? (Alama 2) ………………………………………………… 5. Ni mafunzo gani tunayoyapata kutokana na kisa hiki? (Alama 3) ………………………………………………… 6. “Kutojua ni usiku wa giza.” Fafanua msemo huu ukilinganisha na makala uliyosoma. (Alama 2) …………………………………………………… 7. “Jambazi we! Umepata stahili yako!” Fafanua. (Alama 2) …………………………………………………… MWONGOZO WA KUSAHIHISHA
1. Ni jambo la kuudhi unalolitendea mtu huku ukidhani huwezi kutendewa (alama 2) 2. • Kisheta alikuwa mkali • Kisheta hakumwamini mkewe • Kisheta hakumsaidia mkewe kwa chochote • Mkewe alikuwa mnyenyekevu kwake. 3. Kukatazwa pesa au pato la siku hiyo. 4. • Mama kita alirudi akitabasamu mpaka huyu mtoto akajua kulikuwa na mafanikio fulani. • Kita alifichua kuwa babake alikuwa amemtuma sigara kubwa dukani kwa Ali. 5. Hakuna siri ya watu wawili. - Kuna hatima ya mateso. - Familia haiwezi kuendelea utengano ukiwepo. 6. Kisheta alimdunisha mwanamke kwa kila alichofanya akidhani hakujua. • Kisheta alimshangilia mwanawe bila kufahamu kuwa ndiye angemtia matatani. 7. Mkewe alifurahia kilichotokea hata kama hakikuwa bora kwa mumewe. - Mkewe Kisheta hakuwa na uwezo wa kumkabili mumewe lakini neema za Mungu zilimwokoa akalipishiwa kisasi. Tanbihi i) Pitia majibu huku ukidondoa makosa ya - Sarufi - hijai ii) Kila kosa la sarufi litokeapo mara ya kwanza liondolewe nusu alama mpaka upeo wa aina kumi na mbili ½ x 12 alama 6 iii) Kila kosa la hijai liondolewe nusu alama hadi upeo wa aina sita za makosa ½ x 6 alama 6 Mfano J = 10 S = 1 (makosa mawili tofauti) 9 H = 2 (makosa manne tofauti) 07 1. Insha ya lazima (Alama 20) Kuzorota kwa nidhamu ya wanafunzi katika shule ya upili ya Mramba, kumemlazimu mkuu wa wilaya hiyo ya Mramba kuteua kamati ili kuchunguza kuhusu utovu wa nidhamu. Wewe ulikuwa mmoja wa kamati hii na ulipewa jukumu la kuandika ripoti ya matokeo. Andika ripoti hiyo. 2. Mpango wa elimu bila malipo nchini Kenya umefaulu ingawa umekumbwa na matatizo. Fafanua. (Alama 20) 3. Usipoziba ufa utajenga ukuta. (Alama 20) 4. Andika insha itakayomalizikia kwa:- (Alama 20) ……..nilipojitazama katika kioo, nilijidharau kwa aibu niliyojipa. Niliapa kutorudia kitendo hicho maishani mwangu. MWONGOZO WA KUSAHIHISHA
1. Lazima mtindo wa uandishi wa Ripoti uzingatiwe: i) Kichwa (mada) ii) Utangulizi iii) Wanakamati walioshiriki iv) Matokeo ya udadisi:- Kila moja wapo wa mfano ufafanuliwe na watahiniwa. Mfano:-
Mfano:-
viii) Sahihi Swali la 2
Matatizo
Swali la 3 Mtahiniwa aelewe na kutafsiri maana ya methali. Aandike kisa kitakachokubaliana na methali. Maudhui Methali inamaanisha kuwa jambo ndogo likipuuzwa hatimaye huketa shida. Kisa kieleze mapuuza na hatimaye madhara yanayoletwa na mapuuza haya. Swali la 4 Mwanafunzi aeleze kisa / matukio / matendo aliyotenda yaliyomletea aibu Mfano – Ulevi wa kupindukia, vita kati ya walevi, masimango katika kijiji / mji n.k
Muhimu i) Insha isiyotimiza maneno 400 iondolewe alama 2 (urefu) baada ya kumtia kiwango chake. ii) Insha isiyozingatia sura kulingana na mada aondolewa alama 4s (sura) SEHEMU YA E.FASIHI SIMULIZI (Alama 20) 9. a) Eleza maana ya maghani (alama 2) b) Fafanua sifa nne za maghani (alama 4) c) Taja njia zozote nne za kuhifadhi kazi za fasihi simulizi katika jamii. (alama 4) d) Fafanua hatua za ukusanyaji wa data katika fasihi simulizi (alama 5) e) Eleza matatizo yanaokabili fasihi simulizi katika jamii ya sasa (alama 5) 1.
a Maghani –Ni ushairi ambao hutolewa kwa kalima badala ya kuimbwa.Hushughulikia maswali ya kijamii k.v kazi, maombolezi au siasa kama ilivyo katika nyimbo tofauti na nyimbo maghani hayaimbwi 2x1 = 2 b. Sifa za maghani
d.
e.
ISIMU JAMII a) Eleza sababu zozote sita zinazochangia kufa kwa lugha. (alama 6) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ b) Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili (alama4) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................... 4. ISIMU JAMII.
a) Kiuchumi – maendeleo na ubunifu wa viwanda yanafanya watu kuhamia mijini .Watu wanapohamia mijini wanaacha kuzungumza lugha moja na kuanza kuzungumza nyingine kwa ajili ya mawasiliano b) Uchache wa wazungumzaji – idadi ya watu wanaozungumza lugha fulani inapopungua lugha hiyo inakabiliwa na tisho la kufifia c) Kutoungwa mkono na taasisi balimbali k.v elimu dini na vyombo vya habari hukabiliwa na tisho la kufa d) Hadhi – lugha ambazo hazina hadhi kuishia kufa e) Ndoa za mseto – watu wanapo changanyikana kupita ndoa za mseto husababisha lugha zingine kudidima f) Kuhama kwa watu – kuhama kutoka sehemu moja hadi nyingine luga zao huadhiriwa g) Sababu za kisiasa h) Athari za elimu zozote 6x1 (b) i) Kiswahili kufanywa lugha ya Taifa / rasmi ii) Katiba ilipitisha Kiswahili kiwe lugha rasimi nchini iii) Kiswahili kufanywa somo la lazima shule za upili / msingi iv) Shughuli za lazima bunge kuendelezwa kwa lugha ya kiswahili v) Vyombo vya mawasiliao kutumia lugha ya Kiswahili vi) Vitabu vingi kuchapishwa kwa lugha ya Kiswahili zozote 4 x1 MATUMIZI YA LUGHA. a) Taja sifa tatu kuu za sauti /k/ (alama 3) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ b) Andika sentensi hii katika msemo halisi Mwalimu alimuambia mwanafunzi amalize kazi hiyo haraka (alama 2) ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ c) Huku ukitoa mifano, eleza maana ya silabi funge (alama 2) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ d) Weka nomino hizi katika ngeli zake (alama 2) Mbalungi ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Mturuki ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ e) Andika sentensi ifuatayo kwa wingi, wakati uliopita hali ya kuendelea (alama 2) Mwalimu humuadhibu mwanafunzi mwenye hatia. ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ f) Changamua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali (alama 4) Omondi anaazimia kuwa mhasibu Lakini hatii bidii masomoni ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ g) Yakinisha katika nafsi ya tatu wingi (alama 2) Sijasafiri kwenda marekani ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ h) Bainisha matumizi ya kiambishi ‘ku’ katika sentensi hii (alama 20) Naomi atakupikia chai alafu aende kule uwanjani ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ i) Onyesha virai katika sentensi zifuatazo na ueleze ni vya aina gani. (alama 2) i) Anachukia kusoma riwaya yenye masuala ya kisiasa. ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ii) Watoto wa kike hudunishwa katika jamii nyingi ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ j) Onyesha matumizi mawili ya alama zifuatazo za uakifishaji (alama 4) Koloni (:) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Kistari kifupi (-) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ k) Bainisha aina za vitenzi katika sentensi ifuatayo. Walimu ni watu wasiopendwa wanaposema ukweli kuhusu wanafunzi (alama 3) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ l) Eleza sifa mbili za vishazi tegemezi (alama 2) ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ m) Onyesha matumizi ya kiimbo katika sentensi hii Ondoka hapa! (alama1) ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ n) Andika neno lenye maana sawa na (alama 2) Hawala ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Katani ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ o) Eleza maana ya sentensi hii (alama 2) Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari na ningalistarehe. ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ p) Eleza tofauti iliyopo kati ya sentensi hizi (alama 2) Tulipofika hoteleni tulipewa soda na chupa ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Tulipofika hotelini tulipewa soda kwa chupa .............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................. q) Kanusha katika ukubwa ( alama 1) Mwizi huyu aliiba kisu na ng’ombe wa mwanamke yule. ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ 3. MAJIBU a) Kipasuo, hafifu, hutamkwa katika kaakaa laini b) “Maliza kazi hii haraka,” mwalimu alimwambia mwanafunzi. c) Silabi funge huishia kwa konsonanti mfano Ma-k-ta-ba d) U-i A – wa e) Walimu walikuwa wakiwaadhibu wanafunzi wenye hatia g) Wanasafiri kwenda Marekani
h) Naomi atakupikia chai halafu aende kule uwanjani mahali nafsi ya pili umoja i) Riwaya yenye masuala ya kisiasa ni – kirai nomino Watoto wa kike – kirai husishi j) Koloni – hutenganisha jina la mhusika na maneno anayoyasema katika tamthilia mfano Mbua: Je alifika jana? Hutanguliza orodha.mfano Mama alinunua mboga : Nyama, nyanya na kitunguu. Kistari kifupi (-) Hutenganisha silabi za maneno Kuonyesha neno linaendelea katika mstiari unaofuata baada ya kukosa kutoshea katika mstari mfano Ame- wasili k) ni- kitenzi kishirikishi kipungufu Wasiopendwa, wanaposema – vitenzi sabamba l) Havikubaliki kama sentensi kamili Hata kikiondolewa maana ya sentensi haipotei. Hutambulishwa na vitambulishi vya utegemezi kama vile ‘o’ rejeshi m) Amri n) Hawala-Hundi / cheki Katani – mkonge o) Kitendo hakijatendeka na hakuna uwezekanao. p) i) Walipewa soda na vile vile chupa ii) Walipewa soda iliyokuwa kwenye chupa iii) Walipewa soda iliyokuwa kwenye chupa q) Jizi hili halikuiba jisu na gombe la jana jike lile UFUPISHO: (Alama 15) Soma kifungu kisha uyajibu maswali yanayofuata. Nidhamu ni kitu cha maana sana maishani mwa binadamu. Kila mwanafunzi anapaswa kuwa na nidhamu ya hali ya juu sana.Akiwa na nidhamu hiyo, atakuwa mtu mwadilifu, anayeweza kustahiwa na kusadikika katika mambo, shughuli na hali tofauti. Kwanza, mtoto mwenye nidhamu huwa kama anga au nuru nyumbani mwao, shuleni na pia katika jamii.Watu wote wanampenda na kumheshimu. Wazee kwa vijulanga wote wanamtegemea kama msimamizi wa mambo nyeti ya maisha yao. Kwa hivyo, ni dhahiri shahiri kwamba mwadilifu hunufaika sana, kinyume na mkaidi ambaye wahenga walimwambia kwamba atakosa kufaidi hadi siku ya Idi. Pili, huwadia nyakati ambapo huwa kuna jambo la busara, mathalani jukumu ama dhima fulani ambayo huhitaji tu mwakilishi mmoja darasani, shuleni au katika jamii. Watu hapana shaka watamteua yule mwadilifu kuchukua nafasi kama hiyo. Ndio maana viranja wanaoteuliwa shuleni, huwa ni wanagenzi ambao tayari wamekwisha tiliwa katika mizani na kupigwa msasa madhubuti. Vile vile, mwadalifu daima atajiepusha na shutuma na majanja yote yanayoweza kuchipuka. Kuna msemo maarufu, kwa busara yake iliyobusarisha mwadilifu kwamba “aliye kando haangukiwi na mti.”Pia waliambiwa kwamba, “ pilipili usiyoila yakuwashiani?” Ni bayana kutokana na misemo hiyo miwili kwamba mwenye nidhamu hawezi kuhusishwa na majanga hatari yanayoweza kuyakumba watu. Walakini ni vyema kujiuliza, je, nidhamu huanzia wapi, na kwa nini kuna baadhi ya ‘watoro’ ambao ni utovu wa nidhamu? Utovu wa nidhamu huanzia awali sana maishani mwa mja. Mtoto anapozaliwa, anategemea miongozo na mielekeo ya watu wazima ambao wakomazingirani mwake.Ndipo wakale wale waliokaramka walisema kwamba mtoto akibebwa, hutazama kisogo cha nina. Hivi ni kusema kwamba, nidhamu au utovu wa nidhamu huanzia nyumbani hadi shuleni, kisha hupanuka hadi kufikia kiwango ambapo mja anatangamana na watu wote katika maisha yake.Ikiwa sehemu moja ya ukuaji wa nidhamu maishani mwa mja itasambaratika, basi hawezi akawa mkamilifu kinidhamu maishani mwake. Kwa vile ni bayana kwamba mabaya yote ayatendayo duniani hulipwa na Mola papa hapa duniani,watovu wa nidhamu wote huishia kuangamia, ama kujuta mno kwa amali zao potovu.Ni kheri mja kujihidi mwenyewe, kwani uhalifu haulipi chochote. a) Nini umuhimu wa nidhamu? (maneno kati ya 50-55) (al. 1 ya mtiririko) (alama 7) Matayarisho ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Jibu ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ (b) Bila kubadilisha maana, fupisha aya nne za mwisho. (tumia maneno 55-60) (alama 1 mtiririko ) (alama 8) Matayarisho ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ Jibu ........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ 2. NIDHAMU
(a) Nidhamu (alama 1) (b) Umuhimu wa nidhamu: • Mwenye nidhamu ni nuru nyumbani hata shuleni. • Anakuwa kiongozi wa wote / watu humtegemea • Kiatu humpenda. • Anajiepusha na shutalma na majanga. • Kijumla anastahiwa. • Hupata fursa ya kuteuliwa miongoni mwa wengi kwa dhima fulani. (Hoja 6 1 = alama 6, mtiririko al. 1, jumla alama 7) (c) Muhtasari wa aya nne za mwisho. i) Mwadilifu hajipati katika matatizo mengi. ii) Lakini utovu wa nidhamu huanzia ututoni na mtoto huiga tabia za wazazi wake na huendelea shuleni. iii) Utovu wa nidhamu hulipwa kwa adhabu mumu humu / watu wajirekebishe. Makosa Sarufi ½ x 10 = alama5 Hijai ½ x 6 = alama 3 Adhibu kila kosa la sarufi na hijai linapotokea 1. UFAHAMU (ALAMA 15) Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali yanoyofuatia. Malengo ya maendeleo ya Milenia Malengo ya maendeleo ya Milenia (yajulikanayo kwa kimombo kama Millenium Development Goals (MDG), Ni malengo manane ya nchi wanachama wa umoja wa mataifa, ambayo nchi hizi zilikubaliana kujitahidi kutimiza kufikia mwaka wa 2015.Azma ya kufikia malengo haya ilizinduliwa rasmi mnamo septemba 2000 katika azimio la millennia la umoja wa mataifa.Wakati wa uzinduzi, mataifa yote 189 wanachama wa umoja wa mataifa yalihusika.Kwa sasa, mataifa wanachama yameongezeka na kufikia 193 na yote yanajizatiti kutekeleza azma hii. Azma ya kwanza ni kukomeza au kupunguza umaskini uliokithiri kwa asili 50 miongoni mwa watu ambao kipato chao ni chini ya dola moja kwa siku.Aidha lazima hii inalenga kupunguza kwa kiasi hicho idadi ya watu wanaokumbwa na dhiki ya njaa kufikia mwaka wa 2015.Kwa kielelezo, kwa mfano vijiji viitwavyo ‘vijiji vya milenia’vilianzishwa katika nchi sahara,ambazo ni Uhabeshi, Ghana, Kenya, Malawi, Rwanda, Nigeria, Senegal, Tanzania na Uganda vilichaguliwa.Wakazi hawa wanapookolewa kutoka kwa ulitima, hatua zilichukuliwa vijijini humu yanaonyesha athari chanya.Kunayo matumaini. Lengo la pili lilikuwa kutimiza elimu ya msingi kwa wote chini ya wito ‘Elimu kwa wote’, yaani kwa kingereza Eduction for All (EFA) kufika mwaka wa 2015.Nchini Kenya, elimu ya msingi ilifafanuliwa upya katika katiba mpya ya 2010, ikawa yaanzia shule ya chekechea hadi kidato cha nne. Aidha imetajwa kuwa ya lazima, kwamba mtoto sharti ahudhurie masomo.Ina maana kuwa mzazi analazimika kumpeleka mtoto shuleni. Lengo pia lipo, kuhakikisha watoto wote wa jinsia za kike na kiume wanahitimu. Lengo jingine ni kuwania usawa wa kijinsia kwa kuhakikisha kuna nafasi sawa kwa wote.Katika janibu nyingi za wanachama wa umoja wa mataifa, wanawake kwa miaka ya ayami walionekana kuwa chini ya wanaume kutokana na taasubi ya kiume, mwanamke alifaa kuwa chini ya mwanamume.Hatua ya kwanza ya malengo ya maendeleo ya millennia inanuia kuondoa tofauti ya uwiano wa wasichana na wavulana katika elimu ya msingi hadi sekondari ifikapo mwaka 2005; na katika ngazi zote za elimu ifikapo 2015. Kuondoa utoro miongoni mwa wahudhuriao masomoni hutahakikisha usawa huu. Lengo la nne ni kupuuza vifo vya Watoto wa umri chini ya miaka mitano kwa theluthi mbili kufikia mwaka wa 2015. Jitihada zinatiwa kuhakikisha kuwa kina mama waja wazito hawazai njiti wala watoto wao hawaagi punde baada ya kuzaliwa.Changamoto imekuwa kwamba watoto wengi katika nchi zinazoendelea hufa kabla kufikia umri wa miaka mitano. Mapambano dhidi ya magonjwa kama vile kifaduro, polia na malaria yaliyosababisha vifo hivi pamoja na jitihada za kujizatiti za kufikia lengo hili. Kunayo azma ya kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora za uzi ili kupunguza kwa robo tatu vifo vya uzazi kufikia 2015. Kua kwa wajawazito kunaashiria huduma duni wakati wa kuhimili.Kina mama wengine katika nchi zinazoendelea hawahudhurii kliniki wakati wakati wa kulea mimba.Kwingineko, huduma hizi huwa mbali sana, huku namna za usafiri zikiwa duni.Kina mama huishia ama kuhudumiwa na ‘wakunga’ wasiohitimu au hata kujifungua pweke .Mataifa wanachama wanahimiza kuongezea zahanati na vituo vingine muhimu vya afya.Kadhalika jitihada zinatiwa kuwaelimisha kina mama na jamii kwa jumla kuhusu umuhimu wa kuhudhuria kliniki wakatiwa ujauzito na kuhakikisha mama yu salama wakati wa kujifungua. Magonjwa sugu yanayotishia kuwamaliza walimwengu ni kikwazo cha jitihada za walimwengu kujiendeleza.Ndiyo maana lengo la sita ni kupambana na Ukimwi, malaria na magonjwa mengineyo.Kampeni zinaimarishwa katika jumuiya hii kuzuia kabisa na kupunguza maambukizo mapya ya Ukimwi.Jitihada zinatiwa kupunguza au kuzuia kabisa ugonjwa wa malaria au magonjwa mengine hatari. Vyombo vya habari, vituo tamba vilivyo na maafisa wa nyanjani vinatumiwa nyanjani katika mataifa wanachama ili kufaulisha kampeni hii. Aidha wanachama wanalenga kuhifadhi mazingira kwa kujumuisha misingi ya maendeleo endelevu katika sera na program za nchi.Zinalenga kuzuia upotevu wa rasilimali ya mazingira kama vile miti na maji.Lengo lipokuhakikisha kuwa katika kipindi hiki wanachama watapunguza kwa asilimia 50 idadio ya watu wanaoshindwa kupata maji safi na salama – hii ni moja wapo ya malengo ambayo, kwa mujibu ya tovuti ya umoja wa mataifa www.un.org/milleniumgoals, kuna matumaini ya kutimiza zaidi ya 2015. Mwisho kuna lengo la kujenga mshikamano wa maendeleo duniani, kwanza kwa kuboresha zaidi mfano wa Fedha na biashara duniani kuhakikisha ni wa usawa, unafuata sheria na kamwe hauna ubaguzi.Utawala bora; kushughulikia mahitaji ya kipekee ya nchi changa kama vile kuziondolea ushuru wa bidhaa muhimu,kuzipunguzia au kuziondolea madeni; kutoa misaada zaidi kwa nchi maskini zinazotia jitihada kutoa umaskini kushughulikia mahitaji muhimu, ya visiwa vidogo na nchi zisizo na bandari miongoni mwa nchi zinazoendelea; kuwapa vijana ajira bora; kushirikiana na sekta za kibinafsi ili kuimarisha teknolojia ya kisasa hasa katika habari na mawasiliano ni baadhi ya yanayozingatiwa kulenga kutimiza mshikamano huu. MASWALI. 1. Malengo ya maendeleo ya milenia ni nini? (Alama 2) ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ 2. Ni wachochole wa kiwango gani wanaolengwa kuinuliwa na hatua za malengo ya maendeleo ya milenia? (Alama 1) ........................................................................................................................................................................ 3. Taja vipengele viwili muhimu kuhusu elimu katika katiba mpya ya Kenya vinavyo changia kufikia malengo ya maendeleo ya milenia? (Alama 2) ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ........................................................................................................................................................................ 4. Gusia changamoto tano zinazowakabili kina mama wajawazito katika ulimwengu wa tatu. (Alama5) ....................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................... 5. Kampeni dhidi ya magonjwa sugu inafanywa kwa namna gani. (Alama 2) ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ 6. Hali ya maji inatarajiwa kuwaje kufikia 2015. (Alama 1) ....................................................................................................................................................................... 7. Eleza maana ya vifungu hivi. (Alama 3) a) Hawazai njiti ............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................... b) Vifo vya uzazi. ................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ MWONGOZO WA KUSAHIHISHA
1. Majibu ya Ufahamu. 1. Malengo manane ya nchi wanachama wa umoja wa mataifa,ambayo nchi hizi zilikubaliana kujizatiti kufikia mwaka wa 2015. (Alama 2) 2. Maskini ambao kipato chao ni cha chini ya dola moja kwa siku. (Alama 1) 3. i) Inaanzia shule ya chekechea hadi kidato cha nne. (Alama 2) ii) Ni ya lazima, yaani mtoto sharti ahudhurie masomo. (Alama 1) 4. i) Kutohudhuria kliniki wakati wa kulea mimba. ii) Huduma kwa wajawazito kuwa mbali sana. iii) Namna za usafiri kuwa duni. iv) Kuhudumiwa na ‘wakunga’ wasiohitimu au hata kujifungua pweke. v) Ukosefu wa kinga muhimu na lishe bora. (zozote 3 alama 5) 5. Kwa kutumia vyombo vya habari na vituo tamba vilivyo na maafisa wa nyanjani. (Alama 2) 6. Kupunguza kwa asilimia 50 idadi ya watu wanaoshindwa kupata maji safi na salama . (Alama 2) 7. i) ‘Hawazai njiti’ – Mimba hazitoki . (Alama 1) ii) ‘Vifo vya uzazi’- vifo vinavyotokea wakati kina mama wanajifungua. (Alama 1) 1. INSHA YA LAZIMA Wewe ni katibu wa jopo lililoteuliwa kuchunguza changamoto zinazokabili uchapishaji wa vitabu vya Kiswahili nchini.Andika ripoti hiyo. 2. Samaki mkunje angali mbichi. 3. Serikali za ugatuzi zitakuwa na manufaa kwa maendeleo ya nchi.Jadili. 4. Andika insha itakayomalizika kwa maneno haya......... Niliyakumbuka maneno ya mwalimu mkuu,machozi yalitoka njia mbilimbili.Hayawi hayawi huwa. MWONGOZO WA KUSAHIHISHA
SWALI LA LAZIMA Ripoti iwe na yafuatayo: a) Kichwa : Kilenge mada kwa kuonyesha ni ripoti ya uchunguzi wa jopo hii. b) Utangulizi : Utangulizi huonyesha aliyeitaka ripoti hii. - Wanajopo. - Sababu za kutaka ripoti hii itolewe. - Malengo ya ripoti. - Utaratibu wa kupata habari kama kuhoji wazazi, wanafunzi washirika wengine. c) Mwili – Ubebe matokeo ya uchunguzi - Yaandikwe kwa vichwa vidogo vidogo. Mapendekezo – kamati itoe mapendekezo kulingana na uchunguzi waliofanya. Hitimisho – Wito wakatibu , sahihi na jina la katibu. HOJA
TANBIHI.
BAADHI YA MAPENDEKEZO.
Mwanafunzi atunge kisa kinachooana na methali ina maana sawa na: usipoziba ufa utajenga ukuta. Maana
SWALI LA TATU.
INSHA MWONGOZO Utangulizi Karatasi hii imedhamiria kutathmini uwezo wa mtahini wa kuwasiliana na msomoji na kuwasilisha ujumbe kimaandishi, akizingatia mada aliyopewa.Mawasiliano haya yatategemea ukwasi wa lugha ya mtahiniwa .Kwa kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha, ni lazima kutulia mkazo mtindo, mada na uwezo na mtahiniwa kufuata maagizo vilivyo.Mtahini lazima aisome insha yote huku akizingatia sarufi, hijai, hoja, msamiati na mtindo ili aweze kuikadiria kwa kurejelea viwango mbalimbali vilivopendekezwa. VIWANGO MBALIMBALI D – ( D YA CHINI ) MAKI 01 - 02 1. Insha haina mpangilio maalum na haieleweki kwa vyovyote vile. 2. Kujitungia swali tofauti na kulijibu. 3. Kuandika kwa lugha isiyo Kiswahili au kuchanganya Ndimi. 4. Kunakili swali au maswahili na kuyakariri. 5. Kunakili swali au kichwa tu. D – WASTANI MAKI 04 – 05 1. Mtiririko wa mawazo haupo. 2. Mtahiniwa amepooka kimaudhui. 3. Matumizi ya lugha ni hafifu mno. 4. Kuna makosa mengi ya kila aina. D+ (D YA JUU) MAKI 04 - 05 1. Insha huwa na makosa mengi ya kila aina, Lakini unaweza kutambua kile ambacho mtahiniwa anajaribu kuwasilisha. 2. Hoja hazikuelezwa kikamilifu / mada haikukazwa vilivyo. 3. Mtahiniwa hana uhakika wa matumizi ya lugha. 4. Mtahiniwa hujirudiarudia. 5. Insha itakayozingatia sura lakini ikose maudhui ikadiriwe hapa. 6. Insha ya urefu wa robo yaani, isiyozidi maneno 174 isipite kiwango hiki. C- (C YA CHINI) MAKI 06- 07 1. Mtahiniwa ana shida ya kuwasilisha na kutiririsha mawazo yake. 2. Mtahiniwa hana msamiati wa kutosha wala miundo ya sentensi ifaayo. 3. Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi , ya hijai na ya msamiati na insha haieleweki kwa urahisi. C WASTANI MAKI 08 1. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe lakini kwa njia hafifu. 2. Dhana tofauti hazijitokezi wazi. 3. Mtahiniwa hana ubunifu wa kutosha. 4. Mtiririko wa mawazo ni hafifu na hana ufundi wa lugha unaofaa. 5. Amejaribu kuishughulikia mada aliyopewa. 6. Ana shida ya uakifishaji. 7. Anafanya makosa mengi ya sarufi, ya hijai na ua msamiati lakini bado insha inaeleweka. C+ (C YA JU) MAKI 09- 10 1. Anawasilisha ujumbe vizuri akizingatia mada lakini bado insha inaeleweka. 2. Dhana tofauti zimejitokeza japo kwa njia hafifu. 3. Kuna mtiririko wa mawazo japo hana ufundi wa lugha unaofaa. 4. Misemo na methali zimetumika kwa njia hafifu. 5. Anashida ya uakifishaji. 6. Kuna makosa ya sarufi ya msamiati na hijai yanayoathiri mtiririko wa mawazo. 7. Insha ya kiwango cha nusu, yaani maneno 175- 274 isizidi kiwango hiki. B – (B YA CHINI) MAKI 11- 12 1. Anawasilisha ujumbe vizuri kwa kueleza hoja tofauti akizingatia mada. 2. Ana mtiririko mzuri wa mawazo. 3. Anatumia mifano michache ya msamiati unaovutia 4. Makosa yanadhihirika / ni kiasi B (B YA CHINI) MAKI 13 1. Anathihirisha hali ya kuimudu lugha. 2. Mawazo yake yanathihirika akizigatia mada. 3. Anateua na kutumia mifano michache ya misamiati mwafaka. 4. Sanja yake ni mzuri. 5. Makosa ni machache. B+ (B YA JUU) MAKI 14 - 15 1. Mawazo yake yanadhihirika na anajieleza waziwazi. 2. Anawasilisha ujumbe kwa njia inayovutia na kwa urahisi akizingatia mada. 3. Ana mchanganyiko mzuri wa msamiati unaovutia. 4. Sarufi yake ni nzuri. 5. Uakifishaji wake wa sentensi ni mzuri. 6. Makosa ni machache ya hapa na pale. 7. Insha ya urefiu wa robo tatu, yaani maneno 274 – 374, isipite kiwango hiki. A- (A YA CHINI) MAKI 16- 17 1. Anadhihirisha ukomavu wa lugha. 2. Mawazo yake yanadhihirika na anaishughulikia mada. 3. Ana mtiririiko mzuri wa mawazo. 4. Msamiati wake ni mzuri na unavutia. 5. Sarufi yake ni nzuri. 7. Makosa ni machache yasikusudiwa. A WASTANI MAKI – 18 1. Anawasilisha ujumbe vizuri kulingana na mada. 2. Anajieleza kikamilifu akitumia lugha ya mnato. 3. Anatoa hoja zilizokomaa. 4. Anatumia msamiati wa hali ya juu na unaovutia zaidi. 5. Anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi kiufundi. 6. Makosa ni nadra kupatikana. A+ (A YA JUU) 19 – 20 1. Mawazo yanadhihirika zaidi na mada imeshughuliwa vilivyo. 2. Anajieleza kikamilifu akitumia lugha ya mnato. 3. Hoja zake zimekomaa na zinashawishi. 4. Msamiati wake ni wa hali ya juu na unavutia zaidi. 5. Sarufi yake ni nzuri zaidi. 6. Anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi, kiufundi. 7. Makosa yote kwa jumla hayazidi matano. ALAMA ZA KUSAHIHISHA = = = Hupigwa chini ya sehemu ambapo kosa la sarufi limetokea kwa mara ya kwanza tu. _ Hupigwa chini ya sehemu au neno ambapo kosa la hijai limetokeza kwa mara ya kwanza tu. ü Hutumiwa kuonyesha hoja inapokamilika pambazoni kushoto. Hutumiwa kuonyesha kuacha kwa neno / maneno. Hutumiwa kuonyesha msamiati bora. Alama hii hutiwa juu ya neno lenyewe. X Hutumiwa kuonyesha msamiati usiofaa. Alama hutiwa juu ya neno lenyewe. Kila ukurasa uwe na alama ya chini katikati ili kuthibitisha kuwa mtahini ameupitia ukurasa huo. Baada ya kutoa tuzo, lazima mtahini aandike udhaifu wa mtahiniwa. Mfano wa kutuza: Robo Tatu C 08/20 Udhaifu Urefu Maudhui Hijai Sarufi FASIHI SIMULIZI 7. (a) Eleza maana ya (i) misimu (ii) lakabu (iii) ngomezi (alama 6) (b) Shauri mambo matatu anayopaswa kuzingatia mtu anapohitajika kufumbua fumbo (alama 6) (c) Fafanua umuhimu wa misemo (alama 8) 1. Fasihi simulizi
a) maana ya: i) Misimu – lugha ya kisirisiri yenye mafumbo itumiwayo na kundi ndogo la watu katika jamii. ii) Lakabu – majina ya kupanga au utani ambayo watu katika jamii hujipa au hupewa. iii) Ngomezi – fasihi simulizi inayotumia ngoma au zana za kimuziki. (3x2=6) b) Mambo ya kuzingatia katika kufumbua mafumbo i)ufahamu wa lugha iliyotumiwa km takriri, udogoshaji au ukubwa nk ii)ufahamu wa mazingira, utamaduni na hali ya maisha ya watu. Hii ni kwa sababu mafumbo na majibu hutofautiana kutoka jamii moja hadi nyingine. iii)uwezo wa kupata jawabu kwa kulihusisha na mfanano wa hali, tabia au sifa Fulani zinazojitokeza katika kauli ya fumbo. c) Umuhimu wa misemo i) Huogeza ladha katika mazungumzo kwa kupamba lugha. ii) Huonyesha ustaadi wa lugha iii) Hutumika kama tauria (ufunika ukali) km-kata kamba - acha mkono - kututoka iv) Huchochea akili ya mzungumzaji au mzungumziwa (4x2=8) ISIMU JAMII1. ISIMU JAMII Eleza huku ukitoa mifano mwafaka sifa tano za sajili ya bungeni. ` (alama 10) ………………………………………………………………………………………………………..……………………………………………………………………………………………………….. 1. ISIMU JAMII
i. Lugha huwa na sifa za kisheria ii. Aghalabu huwa na sentensi ndefu iii. Lugha huwa sanifu na ya adabu iv. Matumizi ya msamiati maalumu v. Kuchang’anya na kubadilisha msimbo vi. Sifa zinazodhilika k.v unyenyekevu na heshima m.f Bwana spika,mheshimiwa vii. Urudiaji / uradidi wa baadhi ya maneno viii. Kukatizana usemi ix. Huwa na mtindo maalumu x. Matumizi ya ishara xi. Inaweza kutafsiriwa -kutaja 5x1=5, -mifano 5x1=5 jumla 10 MATUMIZI YA LUGHA1. MATUMIZI YA LUGHA a) (i) Taja sauti mbili ambazo ni irabu na wakati huo huo konsonanti. (alama 2) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Tambua sauti hafifu kati ya zifuatazo: (alama 1) /K/, /r/, /gh/,/ sh/, /w/ ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Onyesha yambwa tendwa na yambwa tendewa katika sentensi hii. (alama 2) Mbunge wa Mtondo Kaskazini atawajengea wanakijiji josho kisha aghurie mjini. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… c) Andika kwa msemo taarifa (alama 3) “Sitakwenda sokoni leo ila nitakwenda kesho,” nikamjibu ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… d) Eleza matumizi ya neno wale katika sentensi hii. Wale walioiba ni mabanati wale ambao waliambiwa wale kabla ya kitendo hicho. …….………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… e) Yakinisha sentensi hii. (alama 1) Hapa napo sipo ninapotaka ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… f) Changanua kwa vielelezo vya mistari / vishale. (alama 3) Mwanafunzi anapohepa shuleni huadhibiwa kikondoo. g) Andika kwa udogo (alama 2) Mtoto wa mzee yule aligongwa kwa nyundo alipofukuzwa na mbwa. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… h) Tumia kiunganishi alakulihali katika sentensi ili kubainisha matumizi yake. (alama 1) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… i) Akifisha sentensi hii mtafanya kazi hii mpaka lini mzee alisema nataka ikamilike leo kesho mtaanza nyingine ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… j) Tunga sentensi ukitumia ‘A’unganifu mwafaka pamoja na nomino ulizopewa (alama 2) (i) Teo ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Liwali ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… k) Eleza matumizi ya ni katika sentensi ifuatayo: (alama 2) Rudini haraka! Amina ni mgeni hapa kwetu, nitamtembeza mjini ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… l) Vitumie vihisishi vifuatavyo katika sentensi. (alama 2) (i) Ebo! ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Kefule! ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… m) Sentensi hizi zinaashiria nyakati gani? (alama 2) (i) Ninapokimbia huchoka sana ………………………………………………………………………………… (ii) Aendapo msikitini hujitia tohara ………………………………………………………………………………… n) (i) Imekuwa vigumu mwananchi kuelewa katiba (andika katika kauli ya kutendea) (alama 1) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Andika sentensi katika kauli ya kutendewa ukitumia kitenzi ‘cha’ (alama 1) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… o) Tumia vivumishi vya pekee kutunga sentensi zenye maana ifuatayo. (alama 2) (i) bila kubagua ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) bila kubakisha ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… p) Eleza maana mbili za sentensi hii (alama 2) Alinichezea na Baniani ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… q) Tunga sentensi mbili tofauti kubainisha maana tofauti kati ya: (alama 2) (i) Pamba ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Bamba ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… r) Mwalimu huyu atawatahini wanafunzi wote watakaofanya mtihani. (alama1) Anza: Wanafunzi wote ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… s) Unda kitenzi kutokana na nomino hii (alama 1) Nomino kitenzi Ufisadi 1. MATUMIZI YA LUGHA
a) (i)/w/,/y/ (2x1=2) (ii) /k/ /sh/ (2x½=1) b) Yambwa tendwa – josho Yambwa tendewa – wanakijiji (2x1=2) c) Nilimjibu (kuwa / kwamba) singeenda sokoni siku hiyo ila ningeenda siku iliyofuata (6x½=3) d) Wale – kiwakilishi kionyeshi / kiashiria Wale – kivumishi kionyeshi / kiashiria Wale - kitenzi e) Hapo napo ndipo ninapotaka Hapo napo ndipo nitakapo (yoyote 1x1=1) f) S – KN +KT KN – N + S N – Mwanafunzi S – anapohepa shuleni KT – T + E T – huadhibiwa E - kikondoo (6x½=3) g) Kitoto cha kizee kile kiligongwa kwa kijundo kilipofukuzwa na kijibwa. (8x¼=2) h) Alakulihali – kwa vyovyote vile. i) “Mtafanya kazi hii mpaka lini? “Mzee alisema, “Nataka ikamilike leo, kesho mtaanza nyingine.” (kutuza) 1- 0 2-½ 3-1 4-1 ½ 5-2 6- 2½ 7- 3 8- 3½ 9- 4 j) Teo za Abunuasi zimepotea Liwali wa kwanza amewasili shambani (2x1=2) k) Rudini -wingi wa wahusika ni -kitenzi kishirikishi kipungufu. nitamtembeza – kiambishi kiwakilishi cha nafasi (kiambato/tegemezi) mjini - kielezi l) (i) Ebo! Kuonyesha dharau (ii) kefule! Kinyume na matarajio (hasa kuhusu maadili) (2x1=2) m) (i) wakati maalumu (ii) Wakati wowote (2x1=2) n) (i) Imewia wananch vigumu kuelewa katiba (1x1=1) (ii)cha – chiwa (1x1=1) o) (i)-o-ote (ii)-ote (2x1=2) p) Mimi pamoja na Baniani tulichezewa. Yeye pamoja na Baniani walichezewa (2x1=2) q) (i) Pamba (i) sufi ya mmea iliyo nyeupe na laini (ii) chakula au masurufu ya wakati wa safari (iii) visha mavazi mazuri ya kupendeza (iv) tia urembo (v) tayarisha au panga vitu kwa uzuri (vi) kuwa mahali aghalabu watu au wadudu (ii)bamba (i) kamata mtu kwa nguvu”baka” (ii)ziba au zuia (iii)bati (iv) kitu chembamba chenye ubapa (bamba la upanga) r) Wanafunzi wote watakaofanya mtihani watatahiniwa na mwalimu huyu. (1x1=1) s) Ufisadi fisidi (1x1=1) 1. MUHTASARI Ingawa baadhi yetu hufanya makosa tunapochagua marafki, ni vyema kuzingatia kwa makini sifa za rafiki yako. Kukosa kufanya hivi kunaweza kututia mashakani kwani rafiki mbaya anaweza kukuambukiza ubaya. Tusisahau kuwa nazi mbovu harabu ya nzima. Kwa sababu hii, sifa nzuri ni nguzo ya urafiki: sifa nzuri hutufanya kufurahia pamoja bila hata wazazi wetu kuhofu chochote kwani urafiki huwa nipe nikupe.Hata hivyo, katika kusaidiana hatuwapi marafiki wetu mali au zawadi tu. Hii ni kwa sababu tunaweza hata kukosa pesa au zawadi za kuwapa marafiki ingawa tunawapenda. Kwa hivyo, katika urafiki tunabadilishana mawazo mbalimbali na kumwonyesha rafiki ni kwa nini tunampenda. Urafiki kama huu huwajenga wote wanaohusika. Katika urafiki, ni vyema kuzingatia ukweli na uaminifu. Iwapo tunaishia kuwaiga marafiki au “kujifanya” ili kuwafurahisha marafiki kutupenda, basi, huenda tusifaidi kwa urafiki. Hii ni kwa sababu hali ya kuvalia ngozi ya kondoo kumbe tu simba mara nyingi huvunga urafiki baina ya watu pale sifa za mtu zinapojitokeza dhahiri kwani ukweli ukidhihiri uongo hujitenga. Hapo ndipo mmoja kati ya wale marafiki anapoanza kusema kuwa “afadhali ningejua.” Hii ndio sababu watu huambiwa kuwa makini sana katika kuchagua marafiki na kuchukua muda kabla ya kuwaamini watu kuwa marafiki wetu wa dhati. Pia, ili kufaidi katika urafiki ni vyema kuwa na rafiki ambaye umri wake na wako ni wa karibu. Rafiki kama huyu atakuwa huru kujadiliana nawe kuhusu yote yanayowahusu. Kwa upande mwingine, rafiki ambaye ana umri mkubwa zaidi ama mdogo sana kwako itakuwa shida kushirikiana naya kwa sababu mtazamo wake na wako kuhusu maswala mengi katika jamii utakuwa tofauti kabisa kama ardhi na mbingu. Hebu fikiri kuwa na rafiki ambaye huna uhuru kuzungumza naye yoyote utakayo kwa sababu unaomwogopa ama nafikiria yeye hataweza kukusaidi kimawazo. Kuna hali nyingine ambayo tunapaswa kuepuka katika urafiki. Tunapofikiria kuhusu marafiki wanaotufaa, tunafaa kutozingatia mambo kama vile utajiri au pesa. Ikiwa tutazingatia swala kama hili katika kuwa na urafiki na mtu, basi, lazima tuwe tayari kwa kuharibika kwa urafiki huu wakati wowote. Hii ni kwa sababu urafiki wenye misingi katika mambo kama hayo huisha wakati wowote mambo yanapokwenda mrama hasa kwa yule ambaye alikuwa akitegemea pesa hizi kwa urafiki. Pia, inaweza kuwa rafiki huyo hakupata pesa hizo kwa njia halali jambo ambalo linaweza kututia matatani. Lakini, hii haimaanishi tusiwe na marafiki ambao wanatoka katika jamii tajiri. Ikiwa urafiki wenu utakuwa na sifa zote zinazofaa bila hata kuzingatia mali yao, basi itakuwa sawa kabisa. Lazima tukumbuke kuwa urafiki ni tunu kubwa kwa maisha yetu hata bila pesa. Kwa ujumla, ni muhimu kuzingatia kuwa urafiki hali kati ya wawili au zaidi anbayo inajengwa kwa muda na utaratibu. Huwezi kusema kuwa mtu ni rafiki baada ya muda mfupi kama hamjajuana kwa muda unaofaa. Ni lazima ichukue muda mjuane vizuri. Kukosana baina ya marafiki ndiko kujuana na kujenga urafiki wenye nguzo inayofa katika jamii. Dondoa sifa kuu za kumchagua rafiki katika aya nne za mwanzo. (maneno kati ya 30-40) utiririko - (alama 6) Matayarisho ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… Jibu ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… a) Andika kwa ufupi yanayoangaziwa katika aya mbili za mwisho (maneno kati ya 45-55) matayarisho ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… Jibu ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 1. UFUPISHO
a) i)-Rafiki mweye sifa nzuri ii)-Kupendanahata kama hakuna pesa au zawadi ii)-Urafiki wa kubadilishana mawazo mbalimbali iv)-Kuzingatia ukweli na uaminifu v)-Rafiki mwenye umri sawa vi)-Rafiki mwenye umri mkubwa hamuwezi kushirikiana naye ipasavyo (kila hoja alama 1 jumla alama 6) b) i) Kutozingatia mambo kama utajiri tunapochagua marafiki ii) Urafiki huenda ukaharibika wakati wowote iii) Waweza kuwa matatani ikiwa pesa za tajiri ni haramu iv) Lakini waweza kuwa na rafiki tajiri bila kuzingatia mali yao v) Urafiki ni hali inayojengwa kwa muda na utaratibu vi) Kukosana baina ya marafiki ndiko kujuana (kila hoja alama 1) (utiririko alama 3) (jumla alama 6) 1. UFAHAMUSoma makala yafuatayo kisha ujibu maswali. Ulimwengu unapaswa kuzuka na mbinu za kulitadarukia tatizo ambalo linakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini unaoyakabili mataifa yanayoendelea, unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yale yaliyoendelea kama vile Marekani, nchi za Ulaya na Ujapani unapanuka kila uchao. Vyanzo vya umasikini huu ni anuwai mathalan,ufisadi uongozi mbaya, turathi za kikoloni, uchumi kuegemezwa kwenye kilimo kinachotegemea mvua isiyotabirika, idadi ya watu inayoupiku uwezo wa uchumi wa taifa linalohusika na ukosefu wa nyenzo na amali za kuwakwamua raia kutoka lindi la umaskini. Ukosefu wa elimu na nafasi adimu za ajira huchangia pia katika tatizo hili. Jamii ya ulimwengu inapaswa kuelewa kuwa umaskini, unaoathiri nchi fulani una athari pana sana. Uvunjifu natokana na umaskini unaweza kuwa mboji ambako matendo mabaya huchipuka. Raia maskini huweza kushawishiwa haraka kujitosa kwenye matendo ya kihalifu ili kujinasua kutoka dhiki ile. Hii inaweza kuwa mbegu ya kuatika maovu kama ugaidi na uhalifu wa kila aina. Mataifa ya magharibi yanapaswa kuyaburia madeni mataifa yanayoendelea kama njia mojawapo ya kupambana na umaskini. Asilimia kubwa ya pato la kitaifa katika mataifa mengi hutumika kuyalipa madeni hayo. Katika hali hii inakuwa muhali kwa mataifa hayo kujikwamua kutokana na pingu za umasikini. Njia nyingine ni kustahabu kutoa ruzuku za kimaendeleo badala ya mikopo kwa nchi zinazoendelea. Kwa upande wake, mataifa yanayoendelea yanapaswa kuibuka na mikakati bora ya kupambana na umaskini. Ni muhimu pawepo na sera zinazotambua ukweli kuwa asilimia kubwa ya raia wa mataifa hayo ni maskini. Pana dharura ya kuzalisha nafasi za ajira, kupanua viwanda hususan vinavyohusiana na zaraa ambayo ni tagemeo kuu la mataifa mengi, kuendeleza elimu na kuimarisha miundo msingi. Ipo haja pia ya mataifa haya kuhakikisha kuwa mfumo wa soko huru unaotawala ulimwengu sasa hauishii kuwa chanzo cha kufa kwa viwanda asilia na kuendeleza umaskini zaidi. Kwa ufupi, maamuzi yote ya sera za kiuchumi lazima yauzingatie uhalisi wa maisha ya raia wa mataifa hayo. MASWALI a) Kwa nini umaskini umetamalaki katika mataifa yanayoendelea? (alama 4) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Madeni yana athari gani kwa mataifa yanayoendelea? (alama 2) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… c) Ni mapendekezo yapi ambayo mwandishi anatoa kwa mataifa machanga kuhusu utatuzi wa tatizo la umaskini? (alama 4) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… d) Mfumo wa soko huru una madhara gani kwa mataifa machanga? (alama 2) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… e) Ukirejelea kifungu, eleza maana ya: (alama 3) i) Kulitadarukia ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ii) Kuatika ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… iii) Kuyaburia madeni ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 1. UFAHAMU
a) i) Ufisadi ii) Uongozi mbaya iii)Turathi za kikoloni iv) Uchumi kuegemezwa kwenye kilimo kinachotegemea mvua isiyotabirika v) Idadi kubwa ya watu inayoupika uwezo wa uchumi taifa linalohusika vi) Ukosefu wa nyenzo na mali za kuwakwamua raia kutoka lindi la umasikini vii) Ukosefu wa elimu na nafasi za ajira (4x1=4) b) Asilimia kubwa ya pato la kitaifa katika mataifa mengi hutumika kuyalipa madeni hayo. (1x2=2) c) i) Kuibuka na mikakati bora ya kupambana na umasikini ii) Pawepo na sera zinazotambua ukweli kuwa asilimia kubwa ya raia wa mataifa hayo ni masikini iii) Kuzalisha nafasi za kazi kwa dharura iv) Kupanua viwanda hususan vinavyohusiana na zaraa ambayo ni tegemeo kuu la mataifa mengi v) Kuendeleza elimu vi) Kuimarisha miundo msingi (4x1=4) d) Ni chanzo cha kufa kwa viwanda asilia na kuendeleza umasikini zaidi (1x2=2) e) i)kulitadarukia – kulishughulikia, kulitatua kulikabili ii) Kuatika - kuanzisha , kutia , kuzua iii) Kuyaburia madeni. Kuyasamehe madeni, kuyaondolea madeni (3x1=3) Maswali 1. Umechanguliwa kuwa katibu wa Chama Cha Kiswahili shuleni. Andaa kumbukumbu za mkutano uliofanyika hivi majuzi ili kupanga mikakati ya kukiendeleza Kiswahili nchini. 2. Fafanua jinsi teknolojia ya kisasa inavyoathiri maisha yako. 3. Ngozi ivute ingali mbichi. 4. Andika insha itakayoishia kwa maneno haya…nilisimama nikaangalia nyuma, machozi yakanitoka njia mbili mbili nilipokumbuka wosia wa walimu, wazazi na wenzangu. MWONGOZO WA KUSAHIHISHA
102/1 2010
iii)orodha ya waalikwa ikiwa wapo iv)orodha ya waliotuka udhuru v)orodha ya wasiohudhuria na hawakutuma udhuru vi)Ajenda Maudhui ya kumbukumbu -kuwe na warsha mbalimbali za Kiswahili -vyombo ya habari -masoma zaidi yatumie Kiswahili katika mitaala -vipindi vya Kiswahili shulni viwe sawa na vya Kiingereza katika ratiba -sera kali dhidi ya wanaovuruga matumizi ya Kiswahili -kukipa Kiswahili hadhi muhumu katika shughuli za kiserikali mtahiniwa afikishe hoja tano
Hoja chanya -ajira kwa watu -kuboresha kazi -Kurahisisha mambo -kuunganisha/kutenganisha watu kutoka sehemu mbali mbali -kuongeza mapato -imeboresha utafiti Hoja hasi -kuvunjika kwa maadili -kuongezeka kwa wizi -watu kupoteza wakati – uraibu -kupanda kwa gharama za maisha -Uharibifu wa mazingira (mtahiniwa azifikishe hoja tano) ( Mtahiniwa asipojihusisha aondolewe al. 2) (- 2 H)
-usipoziba ufa utajenga ukuta Maana – ni vizuri kulainisha/kurekebisha mambo kabla hayajaharibika Matumizi – hutumika kuonya, kufunza maadili, kutoa nasaha kwa watu Kisa. Kulenge mtu aliyekosa kurekebisha/lainisha mambo kiasi cha kuharibika. Km kukosa kumwadhibu mtoto halafu mtoto anaharibika baadaye. Mtahiniwa aonyeshe pande zote mbili.
Mtahiniwa aangazie sehemu hizi tatu a)aonyeshe wosia aliopewa mtu fulani b)kupuuza / kutozingatia wosio huo c)kujuta baadaye / majuto NB: mtahiniwa akiongeza maneno yake atakuwa amejitungia swali na apewe D-(02) mahojiano1. Lazima Wewe ni miongoni mwa wanahabari wanaomhoji Inspekta Jenerali wa Polisi katika ofisi yake. Andika mahojiano yenu juu ya hatua ambazo zimechukuliwa kuimarisha viwango vya usalama nchini. 2. Mfumo wa ugatuzi nchini umekuwa na ufanisi na changamoto zake. Jadili. 3. Andika kisa kinachodhihirisha maana ya methali: Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. 4. Andika kisa kitakachomalizikia kwa maneno haya: ... ilinichukua muda mrefu mno kayaamini yaliyonifika. MWONGOZO WA KUSAHIHISHA KISWAHILI KARATASI 102/1 2016
1. Wewe ni miongoni mwa wanahabari wanaomhoji Inspekta Jenerali wa Polisi katika ofisi yake. Andika mahojiano yenu juu ya hatua ambazo zimechukuliwa kuimarisha viwango vya usalama nchini. Hii ni insha ya mahojiano na ni utungaji wa kiuamailifu. Vipengele viwili vya utungo wa aina hii vizingatiwe, yaani muundo na maudhui.
Changamoto za mfumo wa ugatuzi
Kadiria hoja zingine zitakazotolewa na mwanafunzi. 3. Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali: Mti mkuu ukigwa wana wa ndege huyumba. Mwongozo Hii ni insha ya methali. Maana – Mti mkubwa uangukapo, wote wanaoutegemea mti huo huumia ama huathirika kwa namna moja au nyingine. Mtahiniwa aandike kisa kimoja kinachodhihirisha pande zote mbili za methali hii. Hali zifuatazo zaweza kujitokeza:
Hii ni insha ya mdokezo. Mtahiniwa ahitimishe insha yake kwa maneno haya. Hali zifuatazo zaweza kujitokeza:
MWONGOZO WA KUDUMU KENYA CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION KISWAHILI 102/1 2011 MWONGOZO WA KUSAHIHISHA INSHA UTANGULIZI Karatasi hii imedhamiria kutathmini uwezo wa mtahiniwa wa kuwasiliana na msomaji na kuwasilisha ujumbe kimaandishi, akizingatia mada aliyopewa. Mawasiliano haya yatategemea ukwasi wa lugha ya mtahiniwa, kwa mfano, kutunga sentensi sahihi zenye mtiririko mzuri kimawazo, lugha ya kuvutia na yenye mawazo asilia, ubunifu mwingi na hati nadhifu. Kwa kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha, ni lazima kutilia mkazo mtindo, mada na uwezo wa mtahimiwa kufuata maagizo vilivyo. Mtahini lazima asome insha yote huku akizingatia sarufi, hijai, hoja, msamiati na mtindo ili aweze kukadiria viwango mbalimbali vilivyopendekezwa. Viwango vyenyewe ni A,B,C, na D kutegemea uwezo wa mtahiniwa. VIWANGO MBALIMBALI KIWANGO CHA D KWA JUMLA MAKI 01-05
D- (D YA CHINI) MAKI 01-02
C- (C YA CHINI) MAKI 06-07
B- (B YA CHINI) MAKI 11-12
A- (A YA CHINI) MAKI 16-17
USAHIHISHAJI NA UTUZAJI KWA JUMLA Mtahini ni sharti aisome insha yote akizingatia vipengee muhimu. Vipengee hivi ni maudhui, msamiati, mtindo, sarufi na hijai. MAUDHUI
Msamiati ni jumla ya maneno yatumiwayo katika lugha husika. Mtahiniwa anatarajiwa kutumia msamiati unaooana na mada teule. Kutegemea ukwasi wa lugha alionao, mtahiniwa anatarajiwa kuikuza mada kwa kufinyanga lugha kiufundi. Ni muhimu kuelewa kwamba kutokana na maendeleo na ukuaji wa teknolojia na mawasiliano, maneno mapya yanaibuka kila uchao. MTINDO Mtindo unahusu mambo yafuatayo:
Sarufi ndio msingi wa lugha. Ufanisi wa mawasiliano hutegemea uwezo wa mtahiniwa wa kutunga sentensi sahihi zenye uwiano wa kisarufi. Mtahini ataonyesha makosa yote ya sarufi yaliyo katika insha anayosahihisha. Makosa ya sarufi huweza kutokea katika:
Haya ni makosa ya maendelezo. Mtahini anashauriwa asahihishe huku akiyaonyesha yanapotokea kwa mara ya kwanza tu. Makosa ya tahajia huweza kutokea:
ALAMA ZA KUSAHIHISHIA ==Hupigwa chini ya sehemu ambapo kosa la sarufi limetokea kwa mara ya kwanza tu. __Hupigwa chini ya sehemu au neno ambapo kosa la hijai limetokea kwa mara ya kwanza tu.
Maelezo mafupi yanahitajika kuhusu tuzo lilotolewa. Kila ukurasa uwe na alama chini kudhihirisha kuwa mtahini ameupitia ukurasa huo. UKADIRIAJI WA UREFU WA INSHA YA PILI Maneno 9 katika kila mstari ukurasa mmoja na nusu. Maneno 8 katika kila mstari ukurasa mmoja na robo tatu. Maneno 7 katika kila mstari kurasa mbili. Maneno 6 katika kila mstari kurasa mbili na robo. Maneno 5 katika kila mstari kurasa mbili na robo tatu. Maneno 4 katika kila mstari kurasa tatu na robo tatu. Maneno 3 katika kila mstari kurasa nne na nusu. Kufikia maneno 174 insha robo. Maneno 175-274 insha nusu. Maneno 275-374 insha robo tatu. Maneno 375 na kuendelea insha kamili. SEHEMU YA D. ISIMU JAMII
1.Taja matatizo yanayokumba Kiswahili nchini Kenya. (alama5) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 2. Eleza hatua zinazoweza kuchukuliwa kusuluhisha matatizo haya (alama5) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… SEHEMU YA C: MATUMIZI YA LUGHA 1. Taja sauti nne za ufizi (alama2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 2 .Eleza maana ya maneno yafuatayo (alama2) a)Shadda …………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………………… b) Kiimbo …………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………………… 3. Eleza jinsi ambavyo kiimbo ni muhimu katika lugha ya Kiswahili. (alama2) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 4. Taja matumizi ya “ku” katika sentensi zifuatazo. (alama2) a) Kuimba kwake kunapendeza. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Sikujua amekupiga bila sababu ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 5. Eleza matumizi ya alama za uakifishaji zifuatazo (alama4) a) Koloni (:) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Kistari kifupi (-) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 6. Nini maana ya kitenzi kishirikishi kikamilifu na utunge sentensi ukitumia kitenzi kishirikishi kikamilifu. (alama2) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 7. Eleza maana ya vielezi vya namna vikariri na utungie sentensi moja. (alama2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 8. Eleza maana ya : Viongozi wa kamati kuu walipigishana kura. (alama2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 9. Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya matawi. (alama5) Yule mwalimu amevuna mahindi mengi. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 10. Onyesha shimirisho kipozi na shamirisho kitondo katika sentensi ifuatayo. (alama2) Baba alinunulia mwanawe baiskeli alichokitamani. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 11. Andika katika usemi halisi. (alama2) Kiongozi wananchi aliwakumbusha raia umuhimu wa kujitolea kazini kwa kusisitiza kuwa taifa la siku zijazo liliwategemea wao. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 12. Yakanisha sentensi zifuatazo. (alama2) a) Watoto hawakutekwa nyara. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Mwizi hajafa amelala tu. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 13. Tumia kiwakilishi-O- katika sentensi ifuatayo. (alama1) Kuta ambazo zilijengwa zimebomoka. ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 14. Andika sentensi hii katika hali ya ukubwa, wingi (alama2) Mtoto mefunga mlango wa nyumba yao ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 15. Andika maneno yafuatayo katika kauli ya kutendama. (alama2) a) Jenga………………………………………………………………………………………… b) Ganda……………………………………………………………………………………….. 16. Onyesha chagizo katika sentensi zifuatazo:- (alama2) a) Waliamka alfajiri na mapema kuenda shule. ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Aliendesha gari lile la prado kwa kasi …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… 17. Kamilisha methali hii. (alama2) a) Ada ya mja hunena …………………………………………………………………………… SEHEMU YA C 1 Sauti za ufizi:- t, d, n, s, z, l, r. Zozote nne 2. a) Shadda- Hutumiwa kueleza ile nguvu inayosikika wakati wa kutamka silabi b) Kiimbo- Ni mpando au mshuko wa sauti wakati wa utamkaji wa sentensi 3. Umuhimu wa kiimbo - Hutumiwa kuashiria muundo wa kisarufi yaani kuonyesha sentensi, vishazi na mipaka mingine -Hisia za kibinafsi za msemaji kama kuridhika, dhihaka au dharau, hasira na kadharika. 4. a) Kitenzi jina au nomino za vitenzi vya ngeli ya KU-KU b) Hutumiwa kama kiwakilishi cha nafsi ya pili (wewe) 5. a)- Kutenganisha jina la muhusika na maneno anayosema katika mchezo wa kuigiza kwa mfano. Mbura: unataka nini? - Kutangulia kwa orodha Fulani k.m ligi ya uropa inachezwa na timu maarufu sana: Manchester, Chelsea na Liverpool - Kutangulia maelezo k.m mama alipomaliza kusema kwa simu alianza kurukaruka kwa furaha: haikosi alikuwa ameadhidiwa tunu. (Zozote mbili) b) Kutenganisha silabi za maneno kwa mfano ni-na-shu-ku-ru. -Kuonyesha kuwa neno halingetoshea nafasi katika mstari na hivyo linaendelea katika mstari unaofuata k.m vile- Kujulisha -katika maneno, hasa vivumishi ambavyo huchukua viambishi vya ngeli k.m-o-te,-o-o-te n.k -Kutenganisha maneno ambatanishi k.m Isimu- jamii -Katika tarakimu ili kutenganisha mwanzo na mwisho wake k.m 2002-2006 -Kudumisha sauti hasa wakati neno linapotamkwa (Zozote mbili) 6. Ni kile ambacho hukiweza kuchukua kiambishi cha nafsi au ngeli na kile cha wakati au hali. K.m baba yungali kitandani. (ngali) 7. Hufafanua vitensi kwa kurudiarudia neno moja mara mbili. K.m Yohana amelala kifudifudi n.k 8. Kiongozi mmoja alisimamia kura kwa niaba ya mwenzake, naye baadaye alisimamiwa na yule aliyesimamia alipopumzika. 10. - Mwanawe- shirikisho kitondo
- Baiskeli- shirikisho kipozi 11. “ Ni muhimu mujitolee kazini kwa sababu taifa la kesho linawatengemea ninyi,” Kiongozi aliwakumbusha raia. 12. a) Watoto walitekwa nyara b) Mwizi amekufa amelala tu 13. Kuta zilizojengwa zimepomoka 14.- Toto limefunga lango la jumba lao - Matoto yamefunga malango ya majumbo yao 15. Jenga – jengamana - Ganda – gandama 16. a) Chagizo- Alfajiri na mapema (b) Kazi 17. Ada ya mja hunena muungwana ni kitendo. SWALI LA PILI – UFUPISHO Soma taarifa ifuatayo kisha ufupishe taarifa hii kulingana na maswali yanayofuata. Katika kipindi cha mwongo mmoja, tumeshuhudia mabadiliko na maendeleo makubwa kuhusu vyombo vya habari nchini Kenya. Hapo awali, radio ndicho chombo cha habari cha kipekee kilichotamalaki kote nchini. Familia nyingi ziliweza kumiliki chombo hiki. Runinga ilikuwa miliki ya wachache, hasa mabwenyenye. Sasa hivi, hata akina yahe nchini na mashambani wanamiliki chombo hiki. Runinga kama kifaa kingine chochote cha mawasiliano kina manufaa yake. Kwanza kabisa, ni nyenzo mwafaka ya kufundishia. Vipindi vinavyopeperushwa katika runinga huwa na mafunzo kemkem kwa mtu wa kila rika. Halikadhalika, runinga huweza kuleta vipindi ambavyo huwafahamisha watu mambo yanayoendelea katika mazingara yao ya duniani. Aidha, runinga ikitumika pamoja na michezo ya video huauni katika ukuzaji na ustawishaji wa staidi ya kufundisha au kujielimisha. Michezo ya video, hasa kielimu, huwafanya watu kujenga umakini pamoja na kuchua misuli ya ubongo na kuwafanya watu kuwa macho wanapofanya kazi. Fauka ya hayo, televisheni ni chemichemi bora ya kutumbuiza na kuchangamsha. Hakuna mtu asiyependa kuchangamshwa au kuburudishwa. Televisheni ni mojawapo wa vyombo mwafaka vya kutekeleza hayo kutokana na vipindi vyake. Uburudishaji huu huwa ni liwazo kutokana na shinikizo na migogoro tunayokabiliana nayo kila siku. Uburudishaji huu hupatikana kwa urahisi majumbani mwetu. Kwa upande mwingine, hakuna kizuri kisichokuwa na dosari. Licha ya manufaa yake, televisheni imedhihirika kuwa na udhaifu wake. Kwanza, baadhi ya vipindi vya runinga na video hujumuisha ujumbe usiokuwa na maadili , kama vile matumizi ya nguvu za mabavu, ngono za kiholela, lugha isiyo ya adabu, ubaya wa kimavazi na maonevu ya rangi, dini jinsia , kabila na utamaduni. Si ajabu kuwa baadhi ya vijana wetu wanaiga baadhi ya mambo haya. Vijana wetu siku hizi wameingilia ulevi wa pombe na afyuni, ngono za mapema kabla ya ndoa na mavazi yanayowaacha takribani uchi wa mnyama. Wengi wamekopa na kuyaiga haya kutoka kwa runinga. Ukiwauliza wafanyacho, watakujibu kuwa ni ustaarabu kwani wameupata katika runinga. Mtumizi ya runinga na michezo ya video yasiyodhibitiwa huweza kuwa kikwazo cha mawasiliano bora miongoni mwa familia. Matumizi kama haya huwapa wanafamilia fursa ya kujijenga. Imedhihirika kuwa runinga haichangii kujenga uhusiano bora wa kijamii. Ukilinganisha na vyombo vingine vya burudani ambavyo hutoa nafasi ya watu kutangamana na kujenga uhusiano bora, televisheni haichangii haya. Badala yake, tajriba ya televisheni huwa na kibinafsi. Hali hii inapotokea katika kiwango cha familia, televisheni inaweza kutenganisha wazazi na watoto wao. Hali kadhalika, runinga na video aghalabu hueneza maadili yasiyofaa. Mathalani, baadhi ya vipindi vya televisheni huendeleza hulka ya kuhadaa, ngono za kiholela, kuvunjika kwa ndoa n.k. Hulka hizi zisizoendeleza maadili ya kijamii huchukuliwa kama zinazofaa na zinazofuatwa na waliostaaribika. Huu ni upotovu. Isitoshe, baadhi ya matangazo huhimiza matumizi ya madawa ya kulevya kama tembo na sigara.Vitu hivi vinavyotangazwa, hupambwa kwa hila na udanganyifu mwingi ambao huwavutia vijana na watoto wengi. Si ajabu mtu anapouliza wanaotumia vileo hivi walivyoanza, watajibu kutokana na athari za matangazo katika runinga na vyombo vingine. Utafiti umeonyesha kuwa vipindi vya runinga na video ni chanzo cha matumizi ya nguvu za mabavu miongoni mwa wanafunzi. Wazazi wengi huchukulia vibonzo katika televisheni kuwa vinalenga kuburudisha tu na havina ubaya wowote. Lakini ukweli ni kuwa vipindi vingi vya vibonzo hushirikisha na matumizi ya hila na nguvu za mabavu. Haya huibusha hamu ya vijana na watoto huyaiga.. Kwa hivyo, ni muhimu wazazi na jamii kutambua madhara ya televisheni. Utambuzi huu utawafanya wawaelekeze vujana na watoto jinsi ya kutumia televisheni na video ili kuepakana na madhara yake. Maswali a) Ukitumia maneno 50-60, fupisha manufaa ya runinga. (alama8) Nakala chafu ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… Nakala safi ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Fupisha hasara za runinga ukitumia maneno 70-80 (alama 7) Nakala chafu ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… Nakala safi ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… SEHEMU B: UFUPISHO
a) Manufaa Hutumika kama nyenzo ya kufundishia Hufanya watu kuchua “misuli” ya kibongo na kufanya watu kuwa makini katika shughuli Hutumbuiza na kuchangamsha. Hii hupunguza gharama na wakati wa kuandama chemichemi nyingine za burudani. Huendeleza utamaduni, kaida na amali za jamii. Mengi yanayotokea katika runinga huwezi kuakisi mtazamo, mikakati amali za jamii. (alama2 kwa kila hoja na alama 2 kwa muwala) b) Hasara - Wakati mwingi huendeleza hulka ambazo huchukuliwa kama zinazofaa na zinazofuatwa na wastaarabu. Hivyo, vijana huziiga na kuzifuata. - Runinga huweza kuwa kikwazo cha mawasiliano miongoni mwa familia. Haya yanaweza kuwafanya baadhi ya wanafamilia kujitenga. Waliojitenga huwa rahisi kuingisha maovu. -Baadhi ya matangazo ya runinga hupotosha na kuwafanya watu kushiriki katika mambo hatari kama vile ulevi na kuvuta sigara. - Huwafanya watu kuiga tabia ya matumizi za nguvu za mabavu. (alama 2 kwa kila hoja na 2 kwa muwala) SWALI LA KWANZA – UFAHAMU Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali. Zamani wanadamu wa kwanza ambao ni mababu wa vizazi vilivyopita waliishi duniani. Habari kuhusu maisha na maumbile yao haikujulikana kwa hakika kwa sababu hawakuwa na uwezo wa kuandika. Lakini mara kwa mara shughuli za wanakioolojia kama Louis Leakey na wengine hugundua mifupa yao ardhini na michoro yao katika mapango. Wataalamu hawa hufukua mafuvu, vyombo na silaha zao za zamani. Kwa kuchunguza vitu hivi tunaweza kubahatisha viumbe hawa walivyokuwa na jinsi walivyoishi. Moja ya mambo yanayofahamika sasa ni kuwa wanadamu hawa wa awali walifanana na Sokwe. Aidha , walitembea kwa kupinda mgongo kama kibiongo. Chakula au uhai wao ulitegemea kukusanya matunda, kokwe, majani ya miti na mayai ya ndege. Vile vile , walitegemea wanyama wadogo, kufukua mizizi na kubambua magamba ya miti walipokabwa na njaa. Maisha yao yalikuwa ya hatari . Walikuwa wakiwindwa na wanyama wakubwa. Hii ni kwa sababu mwanzoni hawakuwa na silaha za kujihami. Hivyo iliwabidi kujificha katika miti na vilima kuepuka uvamizi. Lakini usalama wao ulitegemea kwa kiasi kikubwa kudura za Mungu au pengine miungu. Kwa taratibu wanadamu hawa walijifunza kutengeneza silaha. Walianza kutumia fimbo nene zenye ncha au mawe ya kutupia. Baadaye walichonga mawe ili kufanya kuwa visu, nyundo au vigumba vya mikuki. Hatimaye waliviomoa au kupasua vipande vya mawe na kuvitumia kama mishale. Hapa ndipo walianza kuwinda wanyama wakubwa mithili ya swara nguruwe nyati na ngiri. Pia walioweza kutumia mikuki kundunga samaki majini. Mababu zetu hawakuwa na nyumba . Kwanza walikuwa wakijisitiri kwa kukaa chini ya vivuli vya miti au kujenga vibanda vya matawi na majani ya miti. Hawakuweza kuingia mapangoni asilani kwa kuchelewa wanyama wapori wakali kama vile chatu , simba na mamba waliokaa humo. Kwa bahati, siku moja mmoja wao aligundua moto alipokuwa akipekecha vijiti. Kabla ya ugunduzi huu, wao pia hawakujua kazi ya moto na walikuwa wakiogopa na kukimbia moto jinsi wafanyavyo wanyama wa mbugani mpaka leo. Ujuzi wao wa kutumia moto ulileta mabadiliko makubwa. Baada ya hapo waliweza kukaa mapangoni na kukoka mioto milangoni mwa mapango ili kuaogofya adui. Hali kadhalika, waliweza kuota moto, Kumilikia maskani yao mpya na kuchoma nyama badala ya kuila mbichi. Wanadamu wa awali hawakuwa na mavazi. Waliwezaje kuzuia baridi? Inadhaniwa kwamba nywele nyingi walizokuwa nazo kwenye mwili zilisaidia kuwapa joto. Uvaaji wa nguo ulianza walipoanza kutumia ngozi kutoka kwa wanyama waliowawinda. Walizisafisha ngozi kwa kuzipaa kwa kombe za mawe kuzianika juani. Zilipokauka walizivaa kwa kujifunga na kuzishikanisha kwa mifupa au mikanda ya ngozi. Wanadamu hawa hakuweza hata kuongea. Waliwasiliana kwa kupiga mayowe, Kutoa milio au kunguruma jinsi wafanyavyo wanyama. Polepole walianza kutumia sauti na baada ya muda walizipanga sauti kuibua mifumo ya maneno yenye maana za kipekee. Uimilisi wa kutumia lugha uliwawezesha kupiga hatua kubwa kimaendeleo. Lugha pamoja na matumizi ya moto na silaha viliwarahisishia maisha na kuwawezesha kupata muda wa kupumzika mapangoni jioni wakiota moto. Kutokana na hali hii waliweza kutekeleza jambo moja kuu waliloturidhisha. Walitupokeza zinaa.Kutoka kwao tulirithi fasihi simulizi na kupata nakshi za michoro hii inapatikana katika mapango hata leo hii nchini Ufaransa , Uhispania, Africa kusini na hataAfrika mashariki. Maswali a) Msemo “kudura za Mungu au pengine miungu” inadhihirisha hali gani ya wanadamu wa kwanza. (alama 2) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… b) Kwa nini wanadamu hawakuishi mapangoni mwanzoni? (alama 2) ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… c) Fafanua mambo matatu yaliyomwezesha mwanadamu wa kwanza kupiga hatua kimaendeleo. (alama 6) ………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… d) Taja sifa mbili za kimaumbile zilizowatofautisha wanadamu wa awali na wa siku hizi. (alama 2) …………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… Eleza maana ya (alama 3) (i)Walipokabwa………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………… (ii) Kijihami……………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………… (iii) Maskani…………………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………………………………… SEHEMU A: UFAHAMU
1. a) Hawakuweza kujikinga na haieleweki walivyookoka uvamizi b) Wanyama hatari waliishi humo c) (i) Uwezo wa kutumia silaha kujikinga na kupata chakula (ii) Uvumbuzi wa moto ulimwezesha kuishi pangoni d) (i) Walitembea kwa kuinama (ii) Walikuwa na nywele nyingi mwilini e) (i) Walipohisi, walipoona, walipokumbwa (ii) Kujitetea, kujilinda (iii) Makaazi, makao, nyumbani |
Categories
All
Archives
July 2024
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|