Maswali na Majibu KCSE Kiswahili
Ufahamu | Ufupisho | Isimu Jamii | Insha | Utumizi wa Lugha
ISIMU JAMII4. ISIMU JAMII (i) Eleza maana ya lugha sanifu. (alama 1) (ii) Eleza maana ya lafudhi (alama 1) (iii) Jadili matatizo manne yanayokumba ukuaji wa lugha ya Kiswahili nchini Kenya. (alama 8) ISIMU JAMII majibu
4. ISIMU JAMII Lugha Sanifu (i) Ni ile lahoja iliyochanguliwa na kufanyiwa marekebisho ya kimatamushi, kisarufi, kimaana na kimaandishi ili iweze kutumika katika shughuli rasmi kwa mfano — kiunguja. (ii) Lafundi Matamshi ya mzungumzaji yatokanayo na kuathiriwa na lugha ya kwanza au lugha zilizo katika eneo anamoishi. Al -1 au Matamshi ya sauti za lugha yanayomtambulisha mtu au jamii ya lugha Fulani. (iii) Matatizo manne yanayokumba ukuali wa Iuha ya Kiswahili nchini Kenya. 1. Udhaifu na kutekelezwa kwa sera. 2. Matatizo katika mitaala 3. Matumizi mabaya ya lughaushindani wa lugha nyingine 4. Mielekeo hasi 5. Shule za kimataifa na za kibinafsi 6. Ukosefli wa vyombo rasmi vya kukuza Kiswahili 7. Utafiti 8. Msamiati na istilahi
0 Comments
Leave a Reply. |
Categories
All
Archives
July 2024
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|