USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
​Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.
​​Hukuja hapa kwa wingi,
Vitimbi vya kila namna, Kunambia nikuruzuku, Kimwana awe mwenzio, Hukumtwaa mwanangu, Kisema mno walavu, Vipi wangeuza ngoma, Mapepo wampigia? Siwe uloandaa, Harusi ya kukata na shoka, Masafu ya magari, yakilalama jua kali, Hadi kanisani kungia, mimbari wa kusimama, Kasema utamuenzi, hadi yenu mauko? Vipi jicho lageukia, mitaani vipaa mwitu? Hukunabia we fidhuli, Mwanangu utamtunza? Taandamana naye daima, Ja chanda na pete? Hukumwonjesha tamu, ya ulaghai huyuno? Midisko wampleka, kizingizia mapenzi, Vipi wamtezea shere, mwangu kumliza?
Lini taacha dhuluma hizino humfanyiazo,
Tuchukua lini majukumu, Ya kumlea na vifaranga? Huachi kulia u waya Wanao kitelekeza Nadhiri zako za nitakipu promise, Zi wapi mwana balaa? Lini tafumbua maozi, uone huyu nduli, Alotwala wengi wapendi, Kwa jicho la nje kuwangia, Imeanguka miamba mingapi, nayo ngangania kufia dodani, Zinduka mwana zinduka, Ailayo waangamiza. ​Maswali
majibu
Shairi la pili Majibu
0 Comments
Leave a Reply. |
AuthorAtika School Team Archives
June 2024
Categories
All
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|