USHAIRI MASWALI NA MAJIBU
Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali.Maendeleo ya umma Sio vitu maghalani Kama tele vimesaki Lakini havishikiki Ama havikamatiki Bei juu Maendeleo ya umma Sio vitu gulioni Kuviona madukani Kuvishika mikononi Na huku wavitamani Kama tama ya fisi Kuvipata ng’o Maendeleo ya umma Sio vitu shubakani Dhiki ni kwa mafakiri Nafuu kwa mafakiri Ni wao tu washitiri Huo ni uistimari Lo! Warudia Maendeleo ya umma Ni vitu kumilikiwa Na wanyonge kupatiwa Kwa bei kuzingatiwa Bila ya kudhulumiwa Na hata kuhadaiwa Hiyo ni haki. Maendeleo ya umma Dola kudhibiti vitu Vijapo nchini mwetu Na kuwauzia watu Toka nguo na sapatu Pasibakishiwe na kitu Huo usawa. Maendeleo ya umma Watu kuwa na kauli Katika zao shughuli Vikaoni kujadili Na mwisho kuyakubali Maamuzi halali Udikteta la. Maendeleo ya umma Watu kuwa waungwana Vijakazi na watwana Nchini kuwa hakuna Wote kuheshimiana Wazee hata vijana. Maswali
majibumajibu
0 Comments
Leave a Reply. |
AuthorAtika School Team Archives
June 2024
Categories
All
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|