Maswali na Majibu KCSE Kiswahili
Ufahamu | Ufupisho | Isimu Jamii | Insha | Utumizi wa Lugha
“La, Mzee…. Mbio za sakafuni zimefika ukingoni” (al 4) (a) Eleza muktadha wa dondoo hili (b) Mbio zipi zimefika ukingoni? (al 4) (c) Fafanua maudhui mawili yanayojitokeza katika dondoo lenyewe. (al 4) (d) Taja mbinu za lugha zinazojitokeza hapa. (al 4) (a) Eleza muktadha wa dondoo hili (al 4) (i) Maneno ya Kenga (ii) Anamwambia Majoka (iii) Nje ya lango la soko la Chapakazi (iv) Baada ya Majoka kulalamika kuwa Kenga alikuwa ameshindwa kazi kwa kuwakubali wapinzani kufika pale sokoni. (b) Mbio zipi zimefika ukingoni? (al 8)
(c) Fafanua maudhui mawili yanayojitokeza katika dondoo lenyewe. (al. 4)
(d) Taja mbinu za lugha zinazojitokeza hapa? (al. 4)
0 Comments
Leave a Reply. |
Categories
All
Archives
July 2024
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|