Maswali na Majibu KCSE Kiswahili
Ufahamu | Ufupisho | Isimu Jamii | Insha | Utumizi wa Lugha
Maswali
​a) Taja na ueleze sifa za mtambaji bora katika fasihi simulizi. (alama 10)
b) Nyimbo zina wajibu gani katika jamii. (alama 4) c) i) Eleza maana ya vitendawili. (alama 2) ii) Onyesha sifa za kitendawili. (alama 4) Majibu
a) Sifa za mtambaji bora
​b) Wajibu wa nyimbo
​c)
i) Kitendawili ni fumbo/msemo wa kimafumbo ambao hufumbua jambo fulani na hutolewa kwa hadhira au wasikilizaji ili waufumbue. 1 x 2= 2 ii) Hutangulizwa kwa njia maalumu a) Ujumbe wake ni wa kimafumbo b) Ufananisho wa kijazanda c) Ni fupi kwa maelezo d) Hutegemea mazingira/sehemu Fulani 4 x 1 = 4 Maswali
a) Taja na ueleze aina nne za hadithi (alama 8)
b) Eleza mbinu tatu ambazo mtambaji anaweza kutumia kuishirikisha hadhira yake.(alama 6) c) Fafanua vipera vifuatavyo vya fasihi simulizi. (alama 6) i) Majigambo ii) Mivigha iii) Lakabu Majibu
a)
i) Visasili - Hadithi zinazosimulia asili ya watu, vitu ama tabia Fulani. ii) Ngano za mazimwi - Husimulia kuhusu mazimwi iii) Hurafa - Hadithi ambazo zina wahusika wanyama lakini waliopewa tabia za binadamu. iv) Hekaya - Ngano fupi zinazosimulia matukio ya kushangaza yanayoonyesha hila au ujanja wa mwanadamu v) Mighani - Ngano za ushujaa Mighani huwa na lengo la kueleza visa na mikasa ya watu ama mashujaa wa jamii fulani.( mwalimu akadirie aina nyingine)
​b)
c)
i) Majigambo – Mazungumzo yanayotolewa na mtu fulani ili kujitapa ii) Mivigha – sherehe maalum za kitamaduni ambazo hufanywa na jamii katika kipindi maalum. iii) Lakabu – Majina ya utani au kupanga ambayo watu hujipa au kupewa
0 Comments
Leave a Reply. |
Categories
All
Archives
July 2024
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|