Maswali na Majibu KCSE Kiswahili
Ufahamu | Ufupisho | Isimu Jamii | Insha | Utumizi wa Lugha
Maswali na Majibu ya Isimu Jamii
MWONGOZO WA KUSAHIHISHA 1. Barua rasmi
Wasifu kazi Maelezo ya kibinafsi
Ndoa Anwani Uana Simu Maelezo ya kielimu Chuo kikuu Shule ya sekondari Shule ya msingi (Shule ulizosomea, mitihani uliyofanya na vyeti Tajriba – kazi ulizowahi kufanya, vyeo na muda Uraibu 1. 2. Maandisha na machapisho Uanachama 1. 2. Warejelewa 1. Jina / Anwani 2. Jina / Anwani Mwanafunzi azingatie vichwa vidogo vidogo Makosa ya sarufi, hijai na mtindo yaandhibiwe 2. Serikali yafaa kufanya yafuatayo
3. Hii ni insha ya methali
ii) Na vile mhusika Yule ataishia kufanikiwa Tanbihi: mtahiniwa akionyesha upande mmoja apate chini ya 10/20. 4. Insha ya mdokezo Mtahiniwa aandike kisa kitakachoonyesha majuto baada ya kujipata taabani. Hii iwe baada ya maelekezo kutoka kwa mwalimu mkuu; yaliyoambulia patupu. Au Mwanafunzi aandike kisa kitakachoonyesha furaha baada ya kufuata ushauri wa mwalimu mkuu. Ushindi wake usababishe furaha isiyo na kifani inayoambatana na kilio na machozi ya furaha.
0 Comments
Leave a Reply. |
Categories
All
Archives
July 2024
|
We Would Love to Have You Visit Soon! |
Hours24 HR Service
|
Telephone0728 450425
|
|
8-4-4 materialsLevels
Subjects
|
cbc materialsE.C.D.E
Lower Primary
Upper Primary
Lower Secondary
Upper Secondary
|
teacher support
Other Blogs
|